Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Why should they care about you? Why have you panicked? The guy is informing us. Just calm down. Stress za maisha yako usipelekee wengine. Mi sioni kosa la jamaa. Nimefurahi coz hao magaidi waliua watanzania wetu wawili.
 
Upo wapi wewe mambo yote hadharani. Hiyo bandari ya kupokelea misaada ni kichaka cha wanajeshi wa marekani kuisaidia israeli kuendesha operation za kipumbavu kama hii unaua watu 150 kuokoa watu wanne. Very unprofessional
Kwanini Hamas wanaficha mateka katika eneo lenye raia?!
 
Mwaka mzima wameokoa watu wanne halafu wanajiita wanajeshi kweli?
Kwa akili zao mbovu hawa waisrael sishangai hata yesu walimsulubu, na kwa akili za wakristo wa tanzania wanavyopenda wazungu wangekuwepo kipindi hicho still wangeshangilia tu ,akili zao wanazijua wenyewe
 
Danguro unalijua wew hao wote tunaozeshwa na kwa halali kabisa na Mwenyezi Mungu wewe nenda kaimbe mbinguni ndicho ulicho ahidiwa
Kwa hiyo mkuu wewe ukifa unaozeshwa mabinti bikira 72 kwenye pepo ya allah?
 
Sijui ni akili gani inatumika, labda ya kishetani, unaokoa watu 4 unauwa 100 na watoto wadogo. Ni uuuuuuuungwana?
Janja janja zenu myahudi anazijua. Arabs wamejaribu kutumia viongozi wa UN ili waidhibiti Israel, kwa kigezo cha Israel kuua watoto na wanawake, waandishi wa habari lakini wanashindwa kushinikiza hamas waachie mateka, Israel mara zote imesema hamas wakiachia mateka leo leo vita inaisha. Hiyo vita ya hamas na Israel ina hasara kubwa kwa Palestiniana. Ni kitu gani kinasababisha hamas wasiachie mateka wa kiyahudi ili vita iishi na watoto, wanawake wasiendelee kuuliwa?
 
Hata kifo cha Osama Bin Laden watu walibisha baadae kimyaaaaa
 
Mateka wanafichwa kwenye kambi za wakimbizi! Ndio maana Israelis huwa wanalipua hizi kambi watu wanashanga.
 
It is good for nothing hao mateka wako kwa mamia huko makorokoroni wameshikiliwa na Hamas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…