Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Alkazeze ni kiyahudi dogo sio kiarabu.

Afu we unadhani waislamu wauwaji kama nyie na mashoga zenu wayahudi.
 
Hao jamaa zako wala hawamjui Yesu
 
Kama hakuna kavideo ka kuonyesha uhokoaji, nitakuwa wa mwisho kuamini hii habari maana ktk hii vita nimejifunza kuwa Israel ni hatari sana kwa propaganda
 
Watanznaia ni mafala sana yesu anaingiaje hapo
 
Wameokolewa au wameachiwa wakawakuta wamezubaazubaa?
Huu ndo ukweli ila wanavyojigamba sasa hawajamaa wameachiwq tu pengine kutokana na afya zao ..na ni bahati jamaa hawakuwamiminia risasi kama kawida yao
 
Yaani wanaume wazima mnapewa pesa za msaada mnaishia kuzitumia kutengeneza ma rockets na kuchimba mashimo hizo resources mngezitumia vyema SI mngekuwa mbali kimaendeleo? Na hayo mashimo yamegeuka kuwa makaburi yenu na familia zenu inasikitisha sana.
 
Halafu wakioneshwa %ya idadi ya waislam na wao hawakubali sensa.
 
Kuna video yoyote inayoonyesha wakiwa wanawaokoa? Kama hakuna video yoyote inayoonyesha uhokoaji, basi mimi nitakuwa wa mwisho kuamini jambo hilo
Cha ajabu mpa mda hu Hamasi hawajakiri kuwa kuna matekwa wa Israel wameokolewa, hi mimi nashaka ni Bollywood movie tu.
 
Nadhani kaguswa kwasababu ya ubinadamu tu. Sina uhakika kama nikitekwa au ukiteka hao wa Somali au wamsumbiji kama watajali.
 
WMEPATIKANA HATA MCHUBUKO HAWANA KWA MUJIBU WA BBC. HAWA NDIO WAISLAM WANAVYOWATENDEA WAKIRISTO NA MAYAHUDI WAKIWATEKA KATIKA VITA. KAMA INGALIKUWA WAKIRISTO WAMEWATEKA WAISLAM WANGALTOKA HAWANA MASHIKIO NA AU MACHO.
 
Mateka 4 waliotekwa na Hamas mwaka jana wameokolewa Leo na Jeshi la Israel

Source BBC
BBC wanasema wameonekana wakiwa na afya njema, hata mchubuko hawana. wamekaa nusu mwaka. huo ndio uislam na waislam wanavyowafanyia wasiokuwa waislam. wakiristo wakiwateka waislam basi hapo wakitoka masikio hawana au macho
 
BBC wanasema wameonekana wakiwa na afya njema, hata mchubuko hawana. wamekaa nusu mwaka. huo ndio uislam na waislam wanavyowafanyia wasiokuwa waislam. wakiristo wakiwateka waislam basi hapo wakitoka masikio hawana au macho
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaha kumbe ni America alingia kuwasaidia wava Pampers na huyu kapewa infomation na nchi za kiarabu, nilitaka kushanga wavaa Pampers wakawaokoe hao matekwa, no ajabu sana.

Na hio temporary port alio jenga America pale Gaza ndio imetumika kwenda kufanya mashambuliz i alijidai anajenga kwa ajili ya kusaidia kuleta chakula shenzi type sana hawa America

Lakini vita hi Israel na America hawatashinda ngojeni mtakipata tu, afu mmeokoa wanne mmepoteza wanajeshi zaidi ya kumi. mnajidai mmoja ndio kafa hahaha

Yani hio operation ndio zero kabisa ndio mana hataki kuonyesha hio operation kwa aibu ya kipigo alicho kipata, zaidi ya kuonyesha Helicopter inabeba eti matekwa.

Yani ushindi wa kuwapoza waisrael kuwa jeshi limeokoa matekwa πŸ˜„


View: https://youtu.be/8241SipbYNA?si=F-LBGBD6-x7upxbN
 
Hao jamaa leo wameua watu kibao , ndio maan wanajifanya wameokoa ili kujipa justification ya mauaji yao ...Sehemu mpige mabomu halafu mateka watokea wasafi πŸ˜€ πŸ˜€ .

Wanatumia BBC yao kusambaza ujinga eti wameenda kuokoa wakati sehmu walizofika leo ni damu tu kwa mabomu halafu mateka wawe wazima kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…