ndio maana Hamas waliwahi kulivurumishia makombora lile gati kabla ya kubomolewa na kimbunga.Walijua halikna kheri kwao.Ulitakiwa uwashukuru US special Forces waliopo kwenye bandari ya misaada hapo Gaza kwa unyama walioufanya wa kuuwa zaidi ya wapalestina 200 hata hivyo majibu watayapata soon.
Ukibakwa huo mchubuko utainekanaje?! Si ni mpaka ukafanyiwe uchunguzi.wameonekana hata mchubuko hawana.
uchunguzi unafanyika wapi?Ukibakwa huo mchubuko utainekanaje?! Si ni mpaka ukafanyiwe uchunguzi.
Kwa hiyo hao majirani walikuwa wapo wanashuhudia kama sinema wakati wa hayo mashambulizi?Sasa unabisha nini wakati wakazi jirani na hapo wanasema kulikuwa na mashambulizi makali eneo hilo ya ndege na wanajeshi wa israel nakupelekea raia 210 kuuawa na magaidi 80
Mbona Netanyau na genge lake walikimbilia kujificha kwenye mashimo baada ya Iran kurusha makombora?Hao ndugu zako Hamas wangekuwa ni vidume vya mbengu. Wangekaa pale mpaka mwa Gaza na Rafah kuwazuia jeshi la Israel kutoingia.
Gaza na Rafah imekuwa magofu ndiyo unawaona ni vidume? Watu wanajificha kwenye mashimo km panya. Watoke nje, wapigane
hapo raia lzm wafe,ili wasife hamasi aache kuwahusisha raia kuficha uhalifu wake.Sijui ni akili gani inatumika, labda ya kishetani, unaokoa watu 4 unauwa 100 na watoto wadogo. Ni uuuuuuuungwana?
😅 😅 😅 😅Israel kaokoa matekwa wake 4, labda ni mtego wa Hamasi ili Israel akatae kusimamisha vita sababu Hamasi anataka kuwamaliza jeshi la Pampers.
Afu inawezekana pia si kweli hizo ni propoganda za Israel.
Mimi mpaa Hamasi wakiri ni kweli ndio takubaliana ni hi news.
Afu we mtoa mada Yesu yuko mbali na hilo taifa wacha ujinga wako kumzulia Yesu uwongo.
Yesu ni kipenzi cha Waislam kama vile Mtume Muhammad.
Yesu yuko mbali na Ukristo na Uyahudi wacheni kumzulia uwongo bila dalili.
Wewe umesema hawana michubuko mimi nimekuuliza michubuko ya sehemu za siri utaionaje?!uchunguzi unafanyika wapi?
Mateka 100 na kitu mnashindana na mgambo hao 😀 😀 😀 Ile ya kuokoa dk ilikuwaje au stori za jaba.Hiyo ndio maana halisi ya iDF being the BEST army in the world.
Wale jamaa wa humanitarian Aid ndio wamewasaidia kwa vile walijipenyeza , ila hao IDF hamna kitu kabisa ,ndio maana Hamas waliwahi kulivurumishia makombora lile gati kabla ya kubomolewa na kimbunga.Walijua halikna kheri kwao.
Israel peke yake hana tena ubavu wa kupambana na Hamas.Lazima apate msaada wa Marekani.
Raia mmoja wa Israel ni sawa na wapelestina 1000 kwahiyo hiyo 100 ni ndogo sana haijafika lengo kabisa.Sijui ni akili gani inatumika, labda ya kishetani, unaokoa watu 4 unauwa 100 na watoto wadogo. Ni uuuuuuuungwana?
Huo ni uongo sasa!Wewe mbona upo nyuma ya taarifa. Wanajeshi wa marekani waliopo pwani ya Gaza ndo wamefanya hilo tukio na kuwaua raia zaidi ya 200 hata hivyo muda si mrefu majibu watayapata kwa walichokofanya.
Wamekuja na gari la misaada . America delta force ndo wameingia kwa kuuwa watu wengi sana IDF peke yao hawawezi ni waoga vibaya mno.Wale jamaa wa humanitarian Aid ndio wamewasaidia kwa vile walijipenyeza , ila hao IDF hamna kitu kabisa ,
Tafuta habari za uhakika usiokoteze okoteze .Huo ni uongo sasa!
Uandishi wa hivi hujenga maswali sana kwa wasomaji, maswali yasiyo na ulazima wowote!Ni hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani
Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo
Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😃
Majibu gani we mvaa kobazi,alla kawaacha mkufe anasubiri akawape bikra au we hutaki kwenda kwenye danguro la alaWewe mbona upo nyuma ya taarifa. Wanajeshi wa marekani waliopo pwani ya Gaza ndo wamefanya hilo tukio na kuwaua raia zaidi ya 200 hata hivyo muda si mrefu majibu watayapata kwa walichokofanya.
Punguza jazba za kidiniGoddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?
Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Wewe huwezi kuishughulisha akili ?Uandishi wa hivi hujenga maswali sana kwa wasomaji, maswali yasiyo na ulazima wowote!
Hao 210 waliouawa kwa ajili ya wanne(4), wameuawa lini maana kila uchao inatolewa takwimu yake mpya, vita hii ina takribani mwaka ikipiganwa sasa.
Toa taarifa ama andika kibobezi ili kila mtu aelewe moja kwa moja kuliko kutoa taarifa inayojenga maswali.