Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Acha utoto basi!
 
Unawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
Ongezea na ushoga humo
 
Wewe huwezi kuishughulisha akili ?
Nini maana ya kuwa binadamu ?
Kitu kidogo kama hiki unatoa povu upewe taarifa kamili ?
Kweli unaweza kusoma vyuo vya kimataifa kama Open Univesity ambako hakuna mwalimu na chaki ubaoni?
Wadhani nakuuliza kwakutokujua?

Mwalimu anatunga swali kwa jambo asilolijua?

Jisahihishe na uandishi wako mbovu.
 
acha MACCM waendelee kutawala milele, kwa kujenga hoja kwa njia hii. Ni ujinga
 
Majibu gani we mvaa kobazi,alla kawaacha mkufe anasubiri akawape bikra au we hutaki kwenda kwenye danguro la ala
Danguro unalijua wew hao wote tunaozeshwa na kwa halali kabisa na Mwenyezi Mungu wewe nenda kaimbe mbinguni ndicho ulicho ahidiwa
 
WA KULAUMIWA NI ANAYEWAWEKA WATOTO NA RAIA KAMA NGAO DHIDI YA MATEKA...HAMAS WAMEFELI NA WALAUMIWE WAO
 
Mkuu umeuliza kisomi sana
 
Fafanua mkuu
 
Haha America ndio walio waokoa hao hostages kwa kujidai wanapeleka msada kumbe ni jeshi, afu Jeshi la Israel likaja wauwa raia pale shenzi type.
 
Upo wapi wewe mambo yote hadharani. Hiyo bandari ya kupokelea misaada ni kichaka cha wanajeshi wa marekani kuisaidia israeli kuendesha operation za kipumbavu kama hii unaua watu 150 kuokoa watu wanne. Very unprofessional
Mdogo wangu unajua unaongea na kaka zako......acha story za vijiweni
Unaongea na Nelson Jacob Kagame natumia real identity...na ni mwandishi mzoefu wa habari za kivita
 
Nina wasiwasi pengine ID ya Yohana imetekwa nyara na wajanja. Iweje azungumzie Utanganyika na kwamba Wanasiasa wake wamejikita kwenye ufisadi? Huyo si Yohana tuliyemzoea.
 
Ao waliopatikana hawajui Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…