Acha utoto basi!Hahaha wacha awaonyeshe kawaokolea wapi. hizo ni propoganda za Israel anatafuta ushindi wa uwongo.
Anashindwa nini kuchukua video kuwaonyesha namna alivyo waokoa.
Afu Hamasi wakiongea mie ndio takubali kama ni kweli wamewaokoa lakini jeshi la pampers nani analiamini?
Labda watu wamesahau ile Bollywood move ya Al Shifaa Hospital 😄
Ongezea na ushoga humoUnawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
Wadhani nakuuliza kwakutokujua?Wewe huwezi kuishughulisha akili ?
Nini maana ya kuwa binadamu ?
Kitu kidogo kama hiki unatoa povu upewe taarifa kamili ?
Kweli unaweza kusoma vyuo vya kimataifa kama Open Univesity ambako hakuna mwalimu na chaki ubaoni?
acha MACCM waendelee kutawala milele, kwa kujenga hoja kwa njia hii. Ni ujingaNi hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani
Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo
Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😃
Sijaona alipotoa povu. Kama mtu una habari, weka basi utangulizi walau mistari miwili, then jenga hojaKitu kidogo kama hiki unatoa povu upewe taarifa kamili ?
Danguro unalijua wew hao wote tunaozeshwa na kwa halali kabisa na Mwenyezi Mungu wewe nenda kaimbe mbinguni ndicho ulicho ahidiwaMajibu gani we mvaa kobazi,alla kawaacha mkufe anasubiri akawape bikra au we hutaki kwenda kwenye danguro la ala
Bora itupime akili kuokoa matekwa 4 na kuwauwa matekwa wenu wanne na wanajesih 10 ndio mmejiona mnajeshi haha.😅 😅 😅 😅
JamiiForum ituite wote itupime akili
WA KULAUMIWA NI ANAYEWAWEKA WATOTO NA RAIA KAMA NGAO DHIDI YA MATEKA...HAMAS WAMEFELI NA WALAUMIWE WAONi hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani
Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo
Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😃
Mkuu umeuliza kisomi sanaUandishi wa hivi hujenga maswali sana kwa wasomaji, maswali yasiyo na ulazima wowote!
Hao 210 waliouawa kwa ajili ya wanne(4), wameuawa lini maana kila uchao inatolewa takwimu yake mpya, vita hii ina takribani mwaka ikipiganwa sasa.
Toa taarifa ama andika kibobezi ili kila mtu aelewe moja kwa moja kuliko kutoa taarifa inayojenga maswali.
Fafanua mkuuNi hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani
Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo
Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😃
Mdogo wangu unajua unaongea na kaka zako......acha story za vijiweniUpo wapi wewe mambo yote hadharani. Hiyo bandari ya kupokelea misaada ni kichaka cha wanajeshi wa marekani kuisaidia israeli kuendesha operation za kipumbavu kama hii unaua watu 150 kuokoa watu wanne. Very unprofessional
Ww ndio umeokoteza...leta chanzo chako cha habari???Tafuta habari za uhakika usiokoteze okoteze .
Ao waliopatikana hawajui YesuNguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.
Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.
Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.
View attachment 3011849
Good News from GAZA.