Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

[emoji16][emoji16][emoji16] Ila ule niuongo uliopitiliza , how can people believe ule ujinga aisee ,!!! Sheeesshh!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Ila ule niuongo uliopitiliza , how can people believe ule ujinga aisee ,!!! Sheeesshh!!
haaaaa unamaanisha ule wa Malaika kumkaba Koo na kumlazimisha asome kitabu Toka Kwa Allah ?
Yule hata hakua Malaika ni li padre Fulani lilikua linamlazimisha kukariri verse kama mwalimu wa hisabati anavyowalazimisha Kwa bakora watoto wajue kusoma orodha ya kuzidisha!
Mission Yao ilikua ya kiboya Sana still waliwakamata raia kama Leo Mungu na mfalme Zumaridi kuwashika akiri makerubi!

😁😁😁😁
 
Hahaaa eti akabanwa mbavu , anaambiwa Soma, Halafu akarudi kuwaambia raia ninetokewa na malaika sijui kanibana mbavu na people zikajaa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
01 aliye gundua binary no karahisha maisha huu ni uchawi uliopitiliza...

Siri ya uumbaji unaodondokea kwenye Fibonacci Sr unanipelekea kuamini Mungu ni mwanahisabati mwenzetu....
 
01 aliye gundua binary no karahisha maisha huu ni uchawi uliopitiliza...

Siri ya uumbaji unaodondokea kwenye Fibonacci Sr unanipelekea kuamini Mungu ni mwanahisabati mwenzetu....
Hakuna kiumbe anaitwa Mungu
Maana na kama yupo lazima atafungwa Kwenye chain ya Hisabati kitu kitakachomfanya ashindwe kua Mkuu na muweza wa yote maana Hisabati Itakua juu yake then afuate yeye kitendo kinachotafsirika ni mdogo tu kama viumbe wengine!
 
Mungu ni mwana hisabati, hisabati ikiwa juu yenyewe ndio inakuwa mungu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu mh! Something Start to kick my head
 
01 aliye gundua binary no karahisha maisha huu ni uchawi uliopitiliza...

Siri ya uumbaji unaodondokea kwenye Fibonacci Sr unanipelekea kuamini Mungu ni mwanahisabati mwenzetu....
Mh! Ndugu umeniacha njia panda!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu mh! Something Start to kick my head
Ndio hivyo Mkuu unajua watu hua wanaisoma bible kana kwamba ni kitabu Cha Imani hivyo ni kama Hadith za kujifurahisha Bila kujua Nini kilimaanisha mule kumbuka bible imeandikwa Kwa mtindo wa hearsay yaani Kuna third person anasimulia ila ukisoma Accient tablets za Sumerians, Assyrian, Babylon, Egyptian NK zinaonesha ni maandishi recorded katika muda mwafaka wakati tukio kimetokea hivyo hua na majibu na ufafanuzi wenye evidence
Unaambiwa wanasayansi na watafiti wakiweza Soma zile tablets Kwa 60% tu na kufanya majaribio ya kisayansi yaliyokutwa mle Ile teknolojia ya kuficha miji Kwenye dimensions kama Kwenye Wakanda na black Panther au Avengers itaaply live Bila chenga!
 
Huko kwa avengers unanipeleka mbali sana..πŸ˜‚

Vipi na yesu alikuwa annunaki..?πŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huko kwa avengers unanipeleka mbali sana..πŸ˜‚

Vipi na yesu alikuwa annunaki..?πŸ˜…
Kama alipaa kwenda mbinguni kweli kama wasemavyo Israelites basi atakua ni Moja ya Annunak na alitumwa na Mungu wake kweli Ili awakomboe Israelites walioacha kumpelekea gold kama sadaka na wakamuua mjumbe wa ANU na Kwa bahati mbaya akafufuka na kirudi kwao hakyanani wajiandae siku Anunak wakirudi watajuta kumkataa Master wao
ila Sina uhakika kama ni story za kweli maana ingekua kweli wamemuua middle east na Wayahudi Wote wangekua majivu since day one jamaa alivyoripoti yaliyonikuta!
😁😁😁😁πŸ”₯
 
Kama kucount number tupo sawa tutaweza kufikia speed ya mwanga. Kama sivyo will never ever happen.
Ngoja nikuulize swali number kubwa kuliko zote ni ngap?
9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…