Ndo maana nasema haka kanchi kamekaa kiupigaji vidili njaa. Kweli kitu cha bure kinachokutaka kuingia tu mtandaoni eti tayari kajitokeza mjanja anahitaji elfu 1 kwa kila kichwa kweli! Tubadilike.
matokeo yako wazi mtu unachangasha watu kweli si fair kabisa
Bofya hapa
http://www.necta.go.tz/view_news?id=66
http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm
KAMA NI QT FUATILIA KUTOKEA HAPA
http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/qt2014.html
Vp mkuu nikupigie au?0655461758
Kwa kweli ni elimu myumbo
Unanichosha! Huna jipya na maswali yangu huwezi yajibu.
dataWewe nawe hujanielewa, MIMI BADO SIJAONA HAYO MATOKEO.
ILA KAMA WEWE UMEYAONA , NIPE GRADE ZA MTU MWENYE FIRST DISTINCTION,, YAANI A NGAP B NA NYONGEZA YENU B PLUS NGAP. THEN MIMI NTAKOKOTOA KWA MFUMO WANGU WA ZAMANI.
sasa mtu kama wewe ukipata "pass" utamlaumu mwalimu?
Walimu wanahitaji support ya kutosha, kwa kuwa kwenye population yoyote watu kama nyie msioelewa, na msiotaka kujifunza ni wengi kuliko wale wenye kuelewa upesi.
Ukikutana na mwalimu asiye na muda wa kurudia kitu mara kumi kumi, ndio yale y akufika standard 7 hata kusoma hujui.
0655461758
wanasiasa mna maneno mengi, mi si mwanasiasa.
Ukinifuatili vyema ktk uzi huu. Kuna maswali nimeuliza. Waite jopo lako mtusaidie kuelewa.
wanasiasa mna maneno mengi, mi si mwanasiasa.
Ukinifuatili vyema ktk uzi huu. Kuna maswali nimeuliza. Waite jopo lako mtusaidie kuelewa.
[table="width: 70%"]s259/018
Unahitaji kukaa chini na kuisoma huu mfumo vyema kabla ya kuukosoa! Pia una hitaji kuujua mfumo wa marks....kumbuka zamani hakukuwa na B+ wala E kwenye matokeo ya form four! Kwa hiyo kuupitia juu juu na kusema ni mbovu ni kukosa adabu ..!
Umehitaji matokeo sasa nakupa haya hapa chini ya moja ya shule na sidhani kama haya unaweza kuyatumia kuukosoa mfumo wakati hujui marks husika zinapatikanaje!
Ok haya hapa
........
View attachment 226862
[table="width: 70%"]p.0449/0101