kilimomaarifa.tajiri
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 574
- 409
Jamani mbona web iko busy sana kuna njia nyingine ya kuangalia matokeo?
Hahahina maana vipaji maalum sikuizi hamna
maana sioni
Mzumbe
Kibaha
Ilboru
Kilakala
Msalato
hii ndo bongo bwana
Matajiri wakubwa ni akina Bakhresa, Abood na Mohammed Dewji etc yaani waarabu tupuuu
Ila kuna Mbantu mmoja ambaye ni Reginald Mengi
Kuna Mbantu muislam katika list hiyo yakhee.....
nijibu tuendelee na barza sheikh
Namuwazia mdogo angu,dah mapigo ya moyo yapo juuuu sana
umetia wapi wewevijana hamjapata tu mbona mimi naangalia saivi?
Ahsante, kwanini baraza wasitumie njia ambayo wewe umeitumia?
Yani kwa kweli...preshaaaaaamaswa kwetu nao wameibuka na ile ile ya necta mwamo tuhttp://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
BARAZA WEKA SEVRAL LINKS !!!! ACHENI KUPANDISHA PRESHA ZA WATU HAPA ( WATAHINIWA, WAZAZI, WALEZI N,K
Mbona kama umechanganya madesa?Asante mkuu link yako imenifanya nihangaike mda mrefu ila yako imeniwezesha kuya cheki
Ndio imekubali hii naangalia
Ally MufurukiMatajiri wakubwa ni akina Bakhresa, Abood na Mohammed Dewji etc yaani waarabu tupuuu
Ila kuna Mbantu mmoja ambaye ni Reginald Mengi
Kuna Mbantu muislam katika list hiyo yakhee.....
nijibu tuendelee na barza sheikh
Na hao wengine matajiri ni wapi?Ali Mafuruki