Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

balaa dogo ana div 3 ya mwisho watamchukua form 5 kweli?????????????
 
Meinkempf> ahsante sana kwa kuniangalizia matokeo ya mwanangu fasta na bure kabisa kuliko necta
 
Hapana sijui hilo, ninachojua ni kuwa watanzania wenye asili ya Asia ndio matajiri Tanzania.

Waislam weusi ni matajiri wa mboyoyo mingi mingi
Kaa jidanganye kazi kujisifu mumesoma tetemeko limewaumbua jengeni nyumba zenu kwa division one , ulishawahi kusikia bagamoyo kuna njaa, kwanza vijiji vingi tanzania ndio wanaishi masikini sasa waislamu wengi wanaishi kijijini, wafuate nini?
 
wanapaswa kujiuliza upya.Elimu ni bure ama ni gharama?hizo kumi bora hapo juu hakuna hata moja ambayo ni bure.
 
Seminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani

Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
what wenti rongo
 
Kama kuna mtu hajacheck Tokeo alete index no nimchekie bila gharama yeyote ile.
 
Watoto wa DSM wanashinda instagram kupiga umbea na udaku na kutukana mitusi
In haki yao kuburuza mkia
Halafu Dar wanaongoza kwa tuition! Utakuta watoto hawaendi SHULE wanaishia mchikichini na MWENGE kwenye vituo vya tuition!
Wanaponda walimu wao na wanatukuza walimu wa tuition ambao wengi wao ni makajanja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…