Sasa mbona unashangaa kumiliki maghorofa kariakoo na waliopata one kuishiwa kuajiriwa kulipwa laki tano?, maisha ni zaid ya dini na kufaulu vizuri shuleniHilo swali napaswa nikuulize wewe na Faiza Foxy ambao huwa mnasema ninyi ni WAARABU lakini mna nywele ngumu na ngozi nyeusi
Kwangu mimi ukiwa na nywele nyeusi za kiafrika na ngozi nyeusi wewe si MWARABU ila ni MWAFRIKA.
Sasa leo tuambie wewe kama uarabu si ngozi, pua ndefu na nywele, je ni nini?
Go ahead..
Ndio maana hampendi shule eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmemrithi yule jamaa yenu.Unapata one unakuja kulipwa 1 miilion wenye 0 wanamiliki yadi hilo jibu tosha kwa munaojiita WASOMI
Hayo ya mkosaji! Si kila div 0 humiliki yadi! Na wanaomiliki ni za kurithi!@Unapata one unakuja kulipwa 1 miilion wenye 0 wanamiliki yadi hilo jibu tosha kwa munaojiita WASOMI
Hamna ambaye hapendi shule, ila ni ujinga eti kufaulu kuanza kuwapkndawenzako kwa kisingizo cha dini, wakati hao wenzako wanamiliki asilimia 80 ya uchumi wa nchiNdio maana hampendi shule eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmemrithi yule jamaa yenu.
KUMBUKA: Hujanitajia hao waislam wabantu waliowaajiri wakristo.
Unazidi kudhihirisha ukilaza wako unajua?Sasa mbona unashangaa kumiliki maghorofa kariakoo na waliopata one kuishiwa kuajiriwa kulipwa laki tano?, maisha ni zaid ya dini na kufaulu vizuri shuleni
Nawe karithi kama ni rahisi kwani nani kasema kila mkatoloki kapata division oneHayo ya mkosaji! Si kila div 0 humiliki yadi! Na wanaomiliki ni za kurithi!@
Kuna MTU alidai hivyo!Nani Kasema SHULE ya kiislamu.....
oya ebu nitumie FB Daniel Birage Kwenye sms au gmail.sandomwita@gmail.comNimeshayaona mkuu
Wapi hao wanaomiliki hizo 80% mbona huwataji?Hamna ambaye hapendi shule, ila ni ujinga eti kufaulu kuanza kuwapkndawenzako kwa kisingizo cha dini, wakati hao wenzako wanamiliki asilimia 80 ya uchumi wa nchi
Mimi na wewe nani kilaza, kilaza wakati nimeajiri division one na walipa mshaharaUnazidi kudhihirisha ukilaza wako unajua?
Jibu maswali niliyokuuliza kwanza ndipo uulize maswali
This is dialogue....2 way conversation.
Kwahiyo wewe nywele ngumu na ngozi nyeusi ni Mwarabu?Nawe karithi kama ni rahisi kwani nani kasema kila mkatoloki kapata division one
Thank you a million!! Ubarikiwe sana , tena ufike mbali sana , ubarikiwe kwa kazi ya mikono yako. You are simply a starNdio imekubali hii naangalia
Bro umeniona, unanijua?acha kuzihaki watu usiowajua, tulisoma kuondoa ujinga wenzakoKwahiyo wewe nywele ngumu na ngozi nyeusi ni Mwarabu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe Failure yaelekea ulipata zero kwajinsi unavyowachukia waliopata Div I.Mimi na wewe nani kilaza, kilaza wakati nimeajiri division one na walipa mshahara
Yeah iko hivo mkuu simple tuNimeshayaona mkuu
Siwezi kujiita mi mwarabu wakati nimezaliwa agha khan ingawa baba yangu kwao ni IranKwahiyo wewe nywele ngumu na ngozi nyeusi ni Mwarabu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu jamaa nahisi alizungusha huyuHayo ya mkosaji! Si kila div 0 humiliki yadi! Na wanaomiliki ni za kurithi!@
One ya 14 kibaha narudia, sikusoma ili kuajiiriwa kulipwa eti tumilioni 2Huyu jamaa nahisi alizungusha huyu