Sasa mbona unashangaa kumiliki maghorofa kariakoo na waliopata one kuishiwa kuajiriwa kulipwa laki tano?, maisha ni zaid ya dini na kufaulu vizuri shuleniHilo swali napaswa nikuulize wewe na Faiza Foxy ambao huwa mnasema ninyi ni WAARABU lakini mna nywele ngumu na ngozi nyeusi
Kwangu mimi ukiwa na nywele nyeusi za kiafrika na ngozi nyeusi wewe si MWARABU ila ni MWAFRIKA.
Sasa leo tuambie wewe kama uarabu si ngozi, pua ndefu na nywele, je ni nini?
Go ahead..