...wew niambie tuuu dada yangu maana huyo ni mdogo wangu sasa yupo home kijijin huko hakuna network access zaidi ya sms tuu na kupiga simu ...inshot ww niambie tuuHeee nenda kaangalizie karibu na hospitali manake ukiambiwa umezungusha unaweza zimia...tehe tehe
ngoja tabora na shinyanga zipumueHawa wanafunzi wa Dar mbona wamedunda hivi jamenii khaa
Shamsiye maana yake vimeisha miss chagga kuja pande hiiOngera Shamsiye
Tumo Lakini Hatuvumi
Haina shida [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Nitakuletea Top 100.... Nafikiri 90%ni shule za Kanisa Katoliki..
Tumsifu Yesu Kristo
na feza ile nn..Thubutuuuu!!!
Nenda kafuge majini huko....Je katika wanaomiliki 80% ya uchumi hapa bongo ni wakatoliki?, wanaomiliki sheli na masupermarket makubwa ni wakatoliki?, wanaomiliki mabasi ni wakatoliki?............ weka list yamatajiri mia hapa bongo kama wakatoliki watafika hata kumi, lengo langu sio ofensive kwa wakatoliki(wanisamehe), ila tu ninkukuonesha kichwa chako jinsi kilivyojaa kamasi, Miaka kumi iliyopita MARIAN na shule nyingine zinajitahidi kutoa division one wanaoishia kufanya kazi kwa wahindi tu........ Highly stupidity
MAISHA MAZURI NI ZAIDI YA KUPATA DIVISION ONE.
Nipo makini sana...Hao kenge wanaodandia msafara wa Kanisa Katoliki nawafahamu woteHaina shida [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ila usisahau..st marys ya rwakatale na st mathews sijui st ana maria hizo zinamilikwa na watu binafsi si za wakatoliki..kwahiyo ukileta list yako uwe sure nayo....si tu uone st ukurupuke[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Muulize huyu shemeji yako ....hlf in a real sense hatuko kutakanana hapa ni chalenging tu...ukisikia paaah ujue limemgonga.Huyu kasifia Shule za Kanisa Katoliki...Mambo ya matajiri yametoka wapi..?
Sasa unasoma unadegree unamiliki vitz mwenzako hajasoma amekuajiri na anamiliki yard ya vitz nani kichwa chake kimejaa mavi hapo?Nenda kafuge majini huko....
kichwa chako nawe kimejaa mavi..tunaongelea elimu...sio utajiri shwain
Hii nayo ni balaa tupu....Inamilikiwa na Precious Blood Sisters branch ya KahamaMWENYE MTOTO QUEEN OF FAMILY ATAJE NAMBA YA MTOTO
Ila jirani siku moja moja kujisifia sio dhambi....umenena vema wakatoliki huwa hatuna kawaida ya kujisifia, huyo kateleza sisi kwetu elimu ni kama afya tu, ukiwa na afya njema huwezi mcheka aso na afya bali kumuombea awe na afya
WAMEPIGA NA WAOHii nayo ni balaa tupu....Inamilikiwa na Precious Blood Sisters branch ya Kahama