Kunywa maji muache na presha zake...anadhani range l ndio maisha mjini....tunapita barabara moja....Ok! Basi sawa..
Nina one 14 Kibaha na wana kibao waliotaga wapo hadi wanaomiliki mallsWe ulitaga itakua ndo mana una chuki za wazi wazi. Pole
Wooow big congrats to them.....
hiyo shamsiye ni shule ya kiislamu
Umeonaa eeh??Yani Tanzania nzima tunagombania Link moja si upumbafu huo!!NECTA IT yao inabidi wajiongeze. Huwezi kuweka link moja watu wote kuangalia matokeo hapo..bandwidth lazima izidiwe!!
Aina ya uandishi wako na chuki ulizo nazo utakua ulitaga then elimu haijakukomboa fikra....Nina one 14 Kibaha na wana kibao waliotaga wapo hadi wanaomiliki malls
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Tone kwenye bahari sioAcha majungu mbona ipo Shamsiye hapo na ni Shule ya Saba kitaifa.
Ni sawa hata kama wakipewa "scholarship" wasome bure bado vyuoni watakwama maana kwa kusoma hizo shule wanatoa mikopo watawachukulia wanatoka katika familia zenye uwezoshule za kikatoliki.....wapwan wanao soma ktk hizo shule ni wa kuhesabu. ungewekwa utaratiba wenyeji wapewe vipaumbele ktk hizo shule
Sasa we una division one unatembelea sijui spacio wenye zero wanasukuma mikebe ya maana, halafu unaanza kujisifia mbele ya wanaume ambao wakiuza site mirror ya mikebe yao tu wananunua spacio unayotembelea.Kunywa maji muache na presha zake...anadhani range l ndio maisha mjini....tunapita barabara moja....
Cha muhimu uzima
Wooow big congrats to them.....
Bofya HAPA mkuuNaona link hazifunguki mkuu
Bofya HAPAAServer leo iko down sana. Kila ukibofya hakuna kitu
HAHAHAHMWENYE MTOTO QUEEN OF FAMILY ATAJE NAMBA YA MTOTO