Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

huku kwetu hata majina ya wapiga kura hayakubandikwa hata vituo vya kupigia kura havijulikani vilipo
 
Hata haijulikani kama kuna uchaguzi huku. Naona watu wapo na mishe zao, hata mahali pa kupigia kura hapajulikani. Nimejaribu kuuliza kwenye WhatsApp group la mtaani kwetu hakuna anayejua pa kupigia kura.
 
Ooha tayari wajibu [emoji116]
20191124_090226.jpeg
 
Mwenye update yeyote ya uchaguzi kinachoendelea vituoni picha na misululu ya wapiga kura tuone jinsi ccm inavyokubarika na kupendwa na wananchi wanyonge.
Ushindi Wa kishindo kata zote watu
 
Huku kitaa watu hawana habari nimehoji baadhi ya watu wamama,wababa,vijana na wazee hawataki kabisa kusikia habari za uchaguzi na wengi hawajui hata vituo vya kupigia kura vipo wapi

Nawapongeza Sana watanzania kwa hili
True ni juhudi za awamu ya tano
 
Hivi kuna kupiga kura wakati ushindi tayari ?
 
Back
Top Bottom