Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Ndio huyohuyo mwenye tenda za kuagiza chemicals za mahospitalini na migodini na viwandani, ana viwanda pia burundi base iko geita ni bilionea mkubwa tu
aiseee chacha ni bilionea??? hahahaha acheni vichekesho jamani, chacha ni masikini tuu kama wengine
 
Kuna sehemu sijaelewa, viongozi baadhi wa chama kama Shaka na Christina na wao wanagombea
 
Sasa huo uchaguzi unamsaidia nini mwananchi anayeteseka na mgao mkali wa umeme!!! Tumetengeneza system ambayo watu wanathamini umaarufu na vyeo kuliko maisha ya watu na watu wako wanashabikia uchaguzi huu uliopoteza fedha za watanzania walipa kodi walalahoi,hopeless country
 
Ebanaeee
 
Je, hawa ndiyo watakuwa Suluhu ya Mgawo wa Umeme nchini, Ugumu wa Maisha, Umasikini mkubwa na watasaidia kupunguza idadi ya Watanzania Milioni Saba ( 7,000,000 ) wenye Tatizo la Afya ya Akili / Uwendawazimu?
 
Poa mbwa
 
Kuna tofauti kuubwa sana ya kuteuliwa na kuchaguliwa!!! Naishia hapa!!!
 
Kama nafasi 5 zaidi zisingeongezwa hadi kufikia wajumbe 20 wa Tanzania Bara kutoka CCM, wafuatao nao wangalikuwa wamepotea;

10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Wana kila sababu ya kumshukuru Mwenyekiti Taifa na yule Mzee mstahafu.
 
Kwasasa wajumbe hawa wanatengeneza 50/50 ndani ya CCM

Jamani tusicheke tutakuja kulia endapo mama samia hatagombea 2025

Yule mzee anaweza kuwatumia hawa wajumbe kufanya atakavyo

Kwa sisi wakongwe tunaelewa
 
aiseee chacha ni bilionea??? hahahaha acheni vichekesho jamani, chacha ni masikini tuu kama wengine
Kwa Tanzania ni bilionea,unafikiri kumiliki biashara anazomiliki ni mchezo ?
 
Ana kipi Exceptional? Kwa nini mnahadaiwa kiurahisi hivyo? Huyo Bashungwa ana lipi alilowahi fanya?
Kwa CCM nayoijua usishangae ni kweli!! wao wanapenda wagombea incompetent Ili iwe rahisi kuiba na kumcontrol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…