Mpango wa masomo bado I think next yr ntakuwa na Ruhusa ya Mkurugenzi na kupata udahili njia zishakawa sawa nasubiri wakati tu nikasome.Mkuu hivi umepata admission university mwaka huu
Samahani mkuu nje ya mada kdg, Naomba utofauti wa hayo maneno, Daktari na Tabibu.Tofauti ya kwanza..........MD ni daktari,CO ni tabibu
Hahahahhaha naona CO'S na kaka zao MD's wanabishana hapo juu.
Ikitoka hapo tuhamie kwa AMO na MD
Ikiisha na hiyo ije MD na Bachelor of Clinical Medicine
Hii nchi ngumi sana[emoji28]
Hata wewe unaonekana ni CO....Hahahahhaha naona CO'S na kaka zao MD's wanabishana hapo juu.
Soma posti zangu zote toka mwanzo hadi mwisho kwenye huu uzi utaelewaSamahani mkuu nje ya mada kdg, Naomba utofauti wa hayo maneno, Daktari na Tabibu.
Hujui unachokiongea.......ushallow wa mtu si wa taaluma.Wadau mm nasemaje, CO na MD wote madaktari.. CO ni msaidizi wa MD sasa huwezi kuwa msaidizi wa MD kama wewe umesomea Ualimu au nyadhifa nyingine. Kama hautaki bas andamana..
Hawa ndio madaktari wetu kwenye dispensary Level na kwenye vituo vya Afya na wanaupiga mwingi sana. Maisha ya watanzania wengi hatuwezi kwenda muhimbili, mloganzila, KCMC, Bugando etc labda tatizo likiwa kubwa sana. Ko tunaishi nao na wanafanya kazi kubwa sana..
Wanangu COs nyie ndo madaktari wetu popote mlipo kunyweni soda..
Hawa ma MDS wengi wao wapo shallow sana, wanapenda title kubwa ni sawa, miaka mitano sawa hatujakataa but most wako Empty headed in real practical na katika taaluma ya kutibu haya magonjwa Popular ya kwenye jamii.
Mara mia mtu wa kuheshimiwa ni Specialist, pathologist, Dentist, Dermatologist etc Hawa wengine wamesoma vitu vingi ila ni Basic(rasha rasha) sana
CO hajaqualify kutibu watu.......kwenye hio document kwa wenyewe huko, tafsiri uliyoitoa hakuna kitu kinaitwa CO.Hii ni maana moja ya udaktari,na kwa maana hii uliypitoa wewe hakuna atakayepingana nayo hapa kwa sababu huo utakuwa ni udaktari wa level ya elimu na Co Hapaswi kujiita hivyo kamwe kwa sababu hajafikia levo ya elimu hiyo.
Lakini kwa maana zingine za udaktari kama ilw inayosema
"Daktari ni mtu ambaye amequalify kutibu watu(diagnosis na treatment) kwa maana hii naye Co anastahiki kujiita kwa sababu mwisho wa siku ataqualify kutibu watu.
View attachment 1989889
Ni Sawa ila Kama hospitali zilivyo ambapo mgonjwa akianza anaanzia dispensary, kama kesi yake ni kubwa, anapelekwa Kituo cha Afya; na ikishindikana, anaenda Hospitali ya wilaya, mkoa rufaa ….. kwa mtindo huo CO ni Mganga kama ni zahanati. Kiukweli ndiye mtu wa kwanza kumuona mgonjwa na kesi yake ikiwa ni complicated kwake anampeleka kwa MD, MD yakimshinda anampeleka kwa mwenye Master’s etc. CO ni frontier wa udaktari, hivyo kila mmoja CO na MD ana nafasi yake katika utabibu. Inakera kuona MD anamdharau msaidizi wake ambaye ni CO au CO kujilinganisha na Boss wake MD. Lini sikio lilizidi kichwa?Sahihi kabisa hiyo maana yake ni kuwa CO anafanya kazi kama daktari na ndio maana katika masomo yao mara nyingi wanafundishwa na MD.
Haiwezekani CO somo kama Physiology,au pathology au pediatric au gynacelogy eti aje afundishwe na mtu asiyekuwa anafanya katika hizo field.
Na hiyo ni ishara tosha kwamba Co anaenda kufanya kazi ya udaktari ndio maana anafundishwa mambo hhayo.
Una wazimu si bureCO hajaqualify kutibu watu.......
Vijana mna matatizo! Nani kasema CO ni daktari? Daktari lazima awe na degree na CO hana bali ni tabibu ingawa wote ni waganga. Hapo juu nimemjibu mpuuzi aliyesema CO hajaqualify kutibu watu, maskini hajui hata kulikuwa na RMA enzi hizo na walitutibu vijijiniCO ni Paramedical na sio Daktari.
Kutibu watu sio ku-qualify kutibu watu............Medicine(sayansi ya Tiba),sio clinical services pekee(utabibu)Una wazimu si bure
Vijana hawaelewi hili......medical hii ni sayansi ya Tiba na sio clinical services(utabibu)CO ni Paramedical na sio Daktari.
Hapana........wewe ndio mpuuzi na for this case utakua CO.,.....MD kila kitengo yupo.......unapozungumzia sayansi ya Tiba unazungumzia,surgery,research,clinical etc vitu ambavyo CO haruhusiwi kufanya......sayansi ya Tiba(medical services),haiishii tu kwenye clinical services,,.......kusema CO amequalify kutoa Tiba sawa na MD,ni kumdharau MD...........CO amequalify kufanya baadhi tu ya clinical services.........maana CO hata harotate,ENT,PSYCHIATRY,.......OPTHA....EMERGENCY MEDICINE etc......utasemaje anaweza kutoa Tiba.......[emoji16][emoji38][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]Vijana mna matatizo! Nani kasema CO ni daktari? Daktari lazima awe na degree na CO hana bali ni tabibu ingawa wote ni waganga. Hapo juu nimemjibu mpuuzi aliyesema CO hajaqualify kutibu watu, maskini hajui hata kulikuwa na RMA enzi hizo na walitutibu vijijini
Hapana........wewe ndio mpuuzi na for this case utakua CO.,.....MD kila kitengo yupo.......unapozungumzia sayansi ya Tiba unazungumzia,surgery,research,clinical etc vitu ambavyo CO haruhusiwi kufanya......sayansi ya Tiba(medical services),haiishii tu kwenye clinical services,,.......kusema CO amequalify kutoa Tiba sawa na MD,ni kumdharau MD...........CO amequalify kufanya baadhi tu ya clinical services.........maana CO hata harotate,ENT,PSYCHIATRY,.......OPTHA....EMERGECY MEDICINE etc......utasemaje anaweza kutoa Tiba.......[emoji16][emoji38][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]Vijana mna matatizo! Nani kasema CO ni daktari? Daktari lazima awe na degree na CO hana bali ni tabibu ingawa wote ni waganga. Hapo juu nimemjibu mpuuzi aliyesema CO hajaqualify kutibu watu, maskini hajui hata kulikuwa na RMA enzi hizo na walitutibu vijijini
Mwenye mamlaka ya kuidhinisha na kufuta degree yeyote ni TCU.....by the way hata kama hio kozi ingekuwepo ungelipwa mshahara kwa scale ipi?,kumbuka government scale kuna scale za MD na bachelor zingine......au ndio ungetaka ulipwe scale ya MD na wewe sio daktari[emoji16][emoji38][emoji205][emoji16][emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]Barchelor ya clinical medicine washainafkia siku nyingiii hadi imefutwa ....chuki
Mwenye mamlaka ya kuidhinisha na kufuta degree yeyote ni TCU.....by the way hata kama hio kozi ingekuwepo ungelipwa mshahara kwa scale ipi?,kumbuka government scale kuna scale za MD na bachelor zingine......au ndio ungetaka ulipwe scale ya MD na wewe sio daktari[emoji16][emoji38][emoji205][emoji16][emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
Hivi vitu vipo worldwide jamani.
Sawa sawa unavoona magari,simu,TV.
Hakuna devices hizo tu kwa nchi fulani....kuna standard jamani,CO eleweni hili.............
Mwenye mamlaka ya kuidhinisha na kufuta degree yeyote ni TCU.....by the way hata kama hio kozi ingekuwepo ungelipwa mshahara kwa scale ipi?,kumbuka government scale kuna scale za MD na bachelor zingine......au ndio ungetaka ulipwe scale ya MD na wewe sio daktari[emoji16][emoji38][emoji205][emoji16][emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
Hivi vitu vipo worldwide jamani.
Sawa sawa unavoona magari,simu,TV.
Hakuna devices hizo tu kwa nchi fulani....kuna standard jamani,CO eleweni hili.............