Huyo jamaa ni professional arrogant, tayari ameshaniita CO pale juu, jinga sana hili. Mdogo wangu wa mwisho ndo ana hiyo fani na alikuwa MD2 sema amepata ajira hizi za Tamisemi za juzi, ameenda kupiga kazi kisha atamalizia shule yake, mimi nilishapita huko kitambo, nilishakaimu hadi nafasi ya RMO.Ila jambo ambalo hulijui ni kua mtu aliosoma barchelor ya clinical Officer analipwa scale Sawa na ya MD....
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.Hata wewe unaonekana ni CO....
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.
Sijibu maswali ya kijingaKutibu watu sio ku-qualify kutibu watu............Medicine(sayansi ya Tiba),sio clinical services pekee(utabibu)
Kumbuka clinical ni part tu ya medicine.......mtu aliyequalify kutibu watu kwa standard za international ni MD.
Swali dogo...........ukiacha TZ,Kenya,ni wapi kwengine kuna CO duniani?[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Amequalify kutibu nani CO ?CO hajaqualify kutibu watu
Qualification ni cheti unachopewa na mamlaka husika kwamba wewe umemaliza kozi fulani na umefuzu na unakuwa unatambulika.Kutibu watu sio ku-qualify kutibu watu......
Hilo ni jina tu,majina yanaweza kuwa tofauti baina ya nchi na nchi lakini kazi zikawa zinafanana.tafsiri uliyoitoa hakuna kitu kinaitwa CO.
Toa mifano halisi ambayo imeshawahi kufanyika,usitoe mifano ya kijinga ili udogoshe hoja yangu.Kwa ndege ulaya wanaunda,nawe unaunda yako ya mabox unaiita ndege si ndio?
Dunia nzima kuna co.ukiacha TZ,Kenya,ni wapi kwengine kuna CO duniani?
Inawezekana wewe huelewi na ni mjinga sababu tu ni CO.Amequalify kutibu nani CO ?
Qualification ni cheti unachopewa na mamlaka husika kwamba wewe umemaliza kozi fulani na umefuzu na unakuwa unatambulika.
Hilo ni jina tu,majina yanaweza kuwa tofauti baina ya nchi na nchi lakini kazi zikawa zinafanana.
Hoja iko pale pale kwamba CO na yeye anaingia katika wale wanaotibu wagonjwa na hiyo ni maana ya udaktari inayoenea.
Tafsiri niliyokupa imesema kwamba daktari ni yule aliyqualify kutibu watu,je CO anaingia au haingii ?
Jawabu anaingia katika maana hiyo,hivyo na yeye anastahiki kuitwa daktari.
LAKINI KWA maana ya kwamba daktari ni yule ambae ana degree hapo CO haingii kwa sababu hiyo degree hana,na maana hii ya udaktari hata mtu ambaye hajasoma medicine anaweza akaitwa lakini akawa hajui kutibu watu
Kinachomfanya mtu wa MD awe daktari tofauti na wale wa kpzi zingine ni kwa sababu ya kusomea kwake kutibu watu.
Toa mifano halisi ambayo imeshawahi kufanyika,usitoe mifano ya kijinga ili udogoshe hoja yangu.
CO ni kozi iliyoaanzishwa nchi masikini ili kusaidia huduma za utabibu(clinical services),sababu ya uchache wa MD.Dunia nzima kuna co.
Kwa sababu kazi ya Co ni kutibu katika vituo vya afya,na hiyo kazi ya kutibu inafanywa duniani kote na vituo vya afya vipo duniani kote na wagonjwa wapo duniani kote.
Kwa mantiki hiyo Co yupo duniani kote,au ulitaka dunia nzima kila Nchi aitwe CO ?
Huwezi jibu sababu wewe ni COSijibu maswali ya kijinga
Chuo gani hapa Tanzania kinatoa bachelor of clinical medicine?Kwahio unataka kusema hata waliosoma barchelor of clinical medicine pia sio madaktari..?
Wapi hapa Tanzani wanatoa kozi ya clinical medicine na wanafanyiaga intern wapi?Ila jambo ambalo hulijui ni kua mtu aliosoma barchelor ya clinical Officer analipwa scale Sawa na ya MD....
Hakuna RMO mwenye akili ndogo kama yako na hata tokea,hana huo muda.......wewe ni typically clinical officer,tena utakua umesoma vyuo vya kichovu mno,sijui St Bhakita huko[emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]Huyo jamaa ni professional arrogant, tayari ameshaniita CO pale juu, jinga sana hili. Mdogo wangu wa mwisho ndo ana hiyo fani na alikuwa MD2 sema amepata ajira hizi za Tamisemi za juzi, ameenda kupiga kazi kisha atamalizia shule yake, mimi nilishapita huko kitambo, nilishakaimu hadi nafasi ya RMO.
KombaME wewe ni CO tu 100% kwa nature ya uchangiaji wako hapa,na unavojisifu vitu ambavyo hauna(which is a completely typically features of CO).Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.
Clinical officer sio dactar pia matokeo yaliyoshikiliwa sio ya clinical officer (nta lv 6) ni clinical assistance nta lv 5 siku hiz ili usome co lazima upite ca unaweza ku opt kuishia caKwahiyo CO sio daktar daa?
Heshima gan mkuu co ni fundi mchundo lazima afanye md ni officer anaweza kufanya kazi za utawala na mnxWapeni heshima CO wote nchini coz wanachapa kazi kuliko ma MD wenu hao
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.KombaME wewe ni CO tu 100% kwa nature ya uchangiaji wako hapa,na unavojisifu vitu ambavyo hauna(which is a completely typically features of CO).
[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
Kama wewe sio CO sema halleluyah KombaME?
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.
Co ni daktari ukitaka uthibitishe hapo..jipange wewe na co harafu muulize wagonjwa nani dktari na nani sio daktari..ndio utajua hujui[emoji28][emoji28]naomba na mimi kukazia tena kwa herufi kubwa CO SIO DAKTARI, njooni nipigeni sasa
Nendeni shule acheni upuuzi
MD hana muda wa kuandika mambo mengi sana hivo,kujielezea......wewe ni CO tu na utakua umesoma St Bhakita huko labda[emoji16][emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.
Co ni daktari ukitaka uthibitishe hapo..jipange wewe na co harafu muulize wagonjwa nani dktari na nani sio daktari..ndio utajua hujui[emoji28][emoji28]
#MaendeleoHayanaChama