Afadhali umesema wewe mkuu. Watanzania wengi hawajielewi kabisaNina kipato kinachovuka 2M kwa mwezi lakini kijana wangu yupo shule za serikali.
Huu ujinga wa kusomesha English medium sijaona faida yake maana unakuta mtu anajikakamua hadi kuingia madeni kusomesha English medium matokeo yake wanakuja kugombania ajira ya laki saba na aliyesoma bure.
Sio kweli kwamba kila ambaye anasomesha mtoto shule za serikali shida ni kipato bali ni namna mzazi anavyolitazama jambo husika kwa angle yake.
Kuvuta bangi ama kutokuvuta sio suala la shule za serikali wala binafsi bali malezi na tabia za mtoto mwenyewe.Kwanza, Tatzo linaanza ukiamini kwamba watoto wanasoma ili wapate ajira....
Pili,Kwanini uingie madeni kulazimisha jambo ambalo huliwezi?
Shule za serikali tunaona namna zilivyo, hasa hapa mjini, watoto hawafiki shule wanazurura mitaani, walimu hawajali chochote. Watoto wanavuta bangi mchana kweupe...
Hata huyo anayesema ana kipato cha zaidi ya 2M kwa mwezi anajitekenya mwenyewe tu. Hamna kitu hapo.Kipato ndyo tatizo, wengi wanajifariji kwa kuziponda English medium lakini ukweli ni kwamba Elimu bora ni gharama.
Yani watu hawajielewi kwa kupeleka watoto kwenye shule nzuri???Afadhali umesema wewe mkuu. Watanzania wengi hawajielewi kabisa
Shule za serikali zina risk kubwa kwa mtoto, hasa hizi za mijini na uswahilini, tunaishi nazo na tunaona mengi.Kuvuta bangi ama kutokuvuta sio suala la shule za serikali wala binafsi bali malezi na tabia za mtoto mwenyewe.
Kuna jirani hapa mwanaye anasoma shule kubwa tu na maarufu ya binafsi lakini barua za wito kwa mzazi hazikauki kwa tabia mbaya ya mwanaye na kundi lake.
Siwezi kuwapelekea wamiliki wa shule hela za bure kwa jambo lisilo na msingi wakati elimu ni kokote kikubwa uelewa wa mtoto tu.Afadhali umesema wewe mkuu. Watanzania wengi hawajielewi kabisa
2M haitoshi hata ada ya mtoto mmoja kwa baadhi ya shule nzuri hapa Town.Hata huyo anayesema ana kipato cha zaidi ya 2M kwa mwezi anajitekenya mwenyewe tu. Hamna kitu hapo.
Mkuu inategemea na shule. Shule yenye watoto 80 hadi 100+ na wastani wa watoto 20-30 kwa darasa moja hata mi nampeleka mwanangu ila shule yenye watoto 1200+ huko na darasa lina watoto 100+ bora nikope na niishi kwa madeni mtoto asome kwani hapo hataambulia kitu.
Hahaaaaaa, hunidanganyi mzee. PoleπππUsicho kijua ni kwamba watoto huwa wanafurahia zaidi na kuelewa zaidi wanapokuwa watoto wengi kuliko wanavyo kuwa wachache... Upo na watoto lakini hujui saikolojia ya watoto. Hata watu wazima tusio tupo hivyo pia. Kuna mambo ambayo tunayaenjoy zaidi tunapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi zaidi kuliko wachache. Mfano mpirani, tunaenjoy zaidi siku uwanja ukijaa.
Shule ya msingi watoto hawaendi kusoma tu ila wanaenda kukua pia na kujifunza kwa vitendo kupitia watoto wanzao.
Chances za mtoto kujifunza kwenye mkusanyiko wa watoto wengi ni nyingi zaidi kuliko watoto wachache..
Wanangu wataanza kayumba baada ya kumaliza english medium primary.Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.
HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.
Thank me later.
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
2M haitoshi hata ada ya mtoto mmoja kwa baadhi ya shule nzuri hapa Town.
Hiyo ni hela ya school bus and stationary.
Endelea kupigwa mkuu. Hela zako hazina kazi za kufanya.Hahaaaaaa, hunidanganyi mzee. Poleπππ
We zinakuuma nini? Kubwa jinga we.Endelea kupigwa mkuu. Hela zako hazina kazi za kufanya.
Mijadala yenyewe hii ya kina P.Diddy? Unataka mtoto wako aanze kulishwa propaganda za ushoga akiwa shule ya msingi eti eeh?Wanangu wataanza kayumba baada ya kumaliza english medium primary.
Wakati huo wana uwezo wa hata kuangalia na kuelewa cnn news kwenye luninga. English ndio lugha kuu ya mawasiliano duniani, mijadala mingi sana inatupita tu kwa sababu tunahitaji akina mkandala, kututafsiria taarifa za habari.
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»We zinakuuma nini? Kubwa jinga we.
Mitihani yao yote ni ya kushade, hakuna insha wala maswali yanayohitaji maelezo, ni A B C D tu.... kwa tetesi huwa wana mashine za kusahihishia.Mbona mapema kiasi hiki, ndani miezi miwili kusahihisha na kupanga matokeo
Yes Elimu nzuri lazima na gharama lakini kwanza ujue " Elimu nzuri" ni nini?Anajifariji tu, Elimu nzuri lazima iwe na gharama.
Huna helaHata ingetokea nina kipato cha 5M siwezi kumpeleka kwenye utapeli unaoitwa English medium.
English medium nyingi ambazo ni za kawaida ada zao hicheza laki 7 hadi milioni mbili kwa mwaka kitu ambacho hata mzazi mwenye kipato cha laki 4 kwa mwezi anamudu kumsomesha kwasababu shule zote sasahivi wanapokea ada kwa awamu hadi 4.
Kwahiyo suala la kipato napingana na wewe sema ni passion tu ya mzazi anavyolichukulia jambo husika.
Hizo za 3M bado zipo chini...Kwa jinsi unavyo waza una kila haki ya kuendelea kupigwa vihela vyako na Wamiliki wa Ems, kwa sababu hupendi kufikiri.
Kama anapata 2Ms kwa mwezi maana yake ni anakunja 24Ms per year.
Ada za shule za EMs nyingi ni 2m per year ukijumlisha na vikorokoro vingine ina enda mpaka 3 point something per.
Hupendi kufikiri