komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kwa nini umechagua sample ya Arusha secondary wakati shule zilikuwa nyingiHabari wanajukwaa!
Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.
Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?
Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Na bado Kuna watu walipata Div 1 ya sabaHabari wanajukwaa!
Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.
Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?
Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
😂😂Hii ni paper ya Physics ya mwaka 2012
ulimaliza na mjukuu wangu wa kwanzaNimepiga 2013, nakumbuka presha waliokuwa nayo washkaji waliopiga la 2012
Aisee! Wahusika wa huu mtihani wa mwaka 2012 wanalaani kila kitu, NECTA, watunzi, wasahishaji, wasimamizi, waliowapuna credits zao na kila mtu anayepita kati yao anapewa za uso. Shukuru Mungu haukuufanya huu mtihaniMi nilikuwa zangu la 6
Dah pole yaoAisee! Wahusika wa huu mtihani wa mwaka 2012 wanalaani kila kitu, NECTA, watunzi, wasahishaji, wasimamizi, waliowapuna credits zao na kila mtu anayepita kati yao anapewa za uso. Shukuru Mungu haukuufanya huu mtihani
Shule mojawapo ya mfano ni hio ya Arusha Seco, walitia kapuni Division four zaidi ya 100Wengi wao walipata DIVISHENI FOO
Sasa la 1992 utasemaje2012 na 2011 ndio ilio badirisha mtazamo wa elimu ya form 4 hadi serikali ikabdi upunguze ukali wa mitihan
Oyaaaa hili dude khaaaa...Hii ni paper ya Physics ya mwaka 2012
Watoto walikua hawasomi Wana syllabus nyingi.
Mitihani ya mwisho konki ulikua 2009 backwards..
Mimi nimesoma mwenyewe kwa kutumia syllabus ukiweza ku cover syllabus yote ikawa KICHWANI huwezi ku fail kidato Cha nne.
O-level hakunaga mitiani migumu period!
SEMA wanafunzi hawasomi na wanamambo mengi mitiani maswali yote yapo ndani ya SYLLABUS.
ACHA KUTETEA UZEMBE NA UJINGA KWA HAO WANAFUNZI UCHWARA.
Kuna jamaa mkeka ulippgeuzwa na kuletwa mpya alilaani na anaendelea kulaani hadi leo, mkeka ulimtoa kutoka Div II na kumtupia kwenye Div IV ya uswesede.Alhamdulillah nilipata ka two ka 18 ...baadae kakawa one ya 14........
By the way nipo Nanyumbu huku najumua korosho ........🙌