Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...
Kuna mzigo unashuka alafu unafika sehemu inabidi u expand by nini sijuiii kmmke oaa weee mi nilikua selewi an
Nilikua nasema siku wakitoa swali la derivation watajua wenyewe .
Na derivation za hovyo zipo kwa ile topic ya rigid body..
Chem... Na bios mi ilikua kama mishangazi tuu nilikua naipiga mpaka naipanda kabisa... Hili atakuja kusema zaidi
DIVISHENI FOO
Ila physics kila siku ilikua inataka kunizalilizsha bila ya kukaza aaaah ππππ