mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Mwanaume unakazaππππππππ Wee genius tatizo
Physics ikikugonga nawe unaigonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume unakazaππππππππ Wee genius tatizo
Naikumbuka matching item ya history nectar 2006 "The periplus of erythean Sea" Ngoma ilisimama lakini nilipata B Hadi tcha akanipeleka staff nikanywe chai siku nilipoenda chukua cheti!!Mambo yamekuwa marahisi and so predictable. Walio maliza 2009- kurudi nyuma pepa zilikuwa tight sana, alie pita kweli alikuwa jembe
Aiseeπ₯π₯Mimi ni miongoni mwa waliofanya mtihani mwaka huo shule moja ya kata jijini arusha,, aise sitaki hata kukumbuka,, shuleni kwetu walio fanikiwa kuendelea mbele ni wanafunzi wanne tuu kati ya wanafunzi 541 tulio fanya mtihani shuleni hapo
Mtihani ni huu hapapitia Physics advance 2013 aliyeongoza alipata C,
sikuwahi kuona mtihani mgumu kama ule umejaa matangopoli nasoma maswali ghafla nikapata tumbo la kuhara,
Toka nianze shule sukuwahi kwenda haja kubwa huku mtihani unaendelea ule ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza,
Elerai nn?π₯π₯Mimi ni miongoni mwa waliofanya mtihani mwaka huo shule moja ya kata jijini arusha,, aise sitaki hata kukumbuka,, shuleni kwetu walio fanikiwa kuendelea mbele ni wanafunzi wanne tuu kati ya wanafunzi 541 tulio fanya mtihani shuleni hapo
Wewe wewe acha zako kabisa yaani ukaze kwa mwanaume physicsMwanaume unakaza
Physics ikikugonga nawe unaigonga
increase and decrease = cross multiplication.Weeeh ile haiishii pale ....
Alafu volume ya sphere ni costaΓ±t ila ishu inakuja sijui increase nini huko sijui
mkuu naomba unielekeze namna ya kupakua hii mitihani, nina uhitaji wa mitihani Advanced Mathematics zaidi ya miambili, Mwaka kesho narudia mtihani.Mtihani ni huu hapa
Maninaaaa na komweee hilo ndo mana ukapata divisheni fowoincrease and decrease = cross multiplication.
Vere simpo.
Hii paper nilikua na BHii paper ya Physics 2008 mbona ni ya kawaida
MmmmmhHii paper nilikua na B
Mh nini?Mmmmmh
NdioMadogo wawili tu ndio walipata 1 ya saba. Said Juma Irando na Alex Elifas
Umeeleza vyema kabisa yaani umeufunga mjadala huu.Form one hadi four ni elimu rahis sana
Sanaaa kuwai kutokea
Sema wanafunzi wanamambo meingi mnooo
Mimi nilifaulu masomo ya o level kwenye mazingira magumu sana
Nilikua naweza kutumia silabasi nikaoanisha na vitabu na nikasoma
Nimesoma masaini huko ndani ndani
Ila baada ya kukutana na elimu ya advance na chuo nakiri tena
Elimu ya o level ni rahis sana
ningepata walimu wanaojituma kama sasa
Kama nisingekua TO basi one of the top stiudent in Tanzania
Yaani ni simple tu SOMA
Sikuhizi wanafunzi wana silabasi kama 6 kichwani
1.masomo
2.mikeka/kubeti
3.tamthilia za huba
4.yanga na simba
5.ps magemu
6.kokoro la mchina
7,ugoro
8.picha za pillau
9.nitapata wapi simu kwa watoto wa kike
10.bodaboda kwa watoto wa kike
11.shisha ya umeme wanaingia nayo hadi mabwenini
Aiseee TULIO WAZAZI TUANGALIE SANA
Kweli usipo pata watu SAHIHI walio kuzunguka na kuku inspire..Na balehe nayo inakuwa imechochea kweri kwerii
Zamani matokeo yakitoka linakua Jambo la kitaifa..Dr am 4 real PhD Detective J miaka ya 2009 Rudi nyuma mtu ukipata div 1 ya point 7 form 4, Yani wewe kweli ni kidume, na ukiwa na div 1 ya 7 kuna uwezekano upo top 10 ya kitaifa..
Nakumbuka 2009, mwanangu mmoja wa majengo secondary ya moshi anaitwa wolfgang seiya, form 4 alikuwa mtu wa 3 kitaifa..alienda soma international school of moshi kwa scholarship, baada ya hapo akapata scholarship ya kwenda duke university USA, sijui sahivi Yuko wapi