Dogo langu kanambia prac ilikuwa shidaMwaka huu wanafunzi wengi naona wameanguka sana somo la Physics, nini yaweza kuwa tatizo. Hongera kwa wadada waliomaliza st. francis hakika moto wao sio wa nchi hii ingawa wamekuwa wa pili kitaifa ila one za saba wamezipiga kwelikweli.
Bila shaka hata tanzania one atakuwa katoka hapa
Unataka ucheki na matokeo ya madogo zetu wasiokuhusu...Hupati nakuambia
Nakushauri kesho usikose gazeti la mwananchiShule gani imeongoza kitaifa? majina ya wanafunzi vipanga wa Taifa
Nahisi hivyo, maana hata kule kwenye shule za private zinazofanya vizuri physics matokeo yao sio mazuri sanaDogo langu kanambia prac ilikuwa shida
Mkuu umefikia wapi na Ninja Jr?Duu Nina subil kwa hamu apa ya Drs LA 4 Nina bonge LA fimbo Ninja Jr akialibu tu ninae
Mchuano watauweza wapi wakati changamoto ni kibao? Siku tukiamua priority ni elimu kama Hayati baba wa Taifa basi ndiyo tutaona mabadiliko. Shule za umma zilikuwa ni kiboko.Shule za umma hoi hali ni tete sana na hii elimu bure.
4. CANOSSA SEC SCHOOL1. KEMEBOS SECONDARY SCHOOL
2. ST. FRANCIS SECONDARY SCHOOL
3. FEZA BOYS SECONDARY SCHOOL
7. MARIAN BOYS
Fizi imekuwa ngumu kuliko mase hahahaNahisi hivyo, maana hata kule kwenye shule za private zinazofanya vizuri physics matokeo yao sio mazuri sana
TAYARI,WEWE CHEKI UPYA.Nimeingia kwenye tovuti yao naona bado hawaja yaweka
10. MUSABE4. CANOSSA SEC SCHOOL
8. ST. AUGUSTINE TAGASTE SEC SCHOOL iko Kimara Temboni
Magufuli awapeleke vyuo vya ufundi. Asitujazie watu asioweza kuwaajiri halafu baadae analia lia.
Hii ndio kazi ya ndalichako: Kushughulikia mustakabali wa elimu ya Tanzania badala ya kuropoka viingereza vya kihuni huko kwenye sites!
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTENi aibu kwa waziri kutoa "broken" ya daraja la 1.
Aisee wewe rudi kweliBora turudi shule.
dodge