Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Dogo langu kanambia prac ilikuwa shida
 
Link ya matokeo kidato cha Pili please? Shukrani
 
Shule za umma hoi hali ni tete sana na hii elimu bure.
Mchuano watauweza wapi wakati changamoto ni kibao? Siku tukiamua priority ni elimu kama Hayati baba wa Taifa basi ndiyo tutaona mabadiliko. Shule za umma zilikuwa ni kiboko.
 
1. KEMEBOS SECONDARY SCHOOL
2. ST. FRANCIS SECONDARY SCHOOL
3. FEZA BOYS SECONDARY SCHOOL
7. MARIAN BOYS
4. CANOSSA SEC SCHOOL
8. ST. AUGUSTINE TAGASTE SEC SCHOOL iko Kimara Temboni
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…