Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Unaweza kukuta ni biashara ya mtu hio inapigiwa pandeš¤£!Hizo jerry cans atakuwa nazo mkubwa fulani kwahiyo wametumia njia hii zinunuliwe zisibume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kukuta ni biashara ya mtu hio inapigiwa pandeš¤£!Hizo jerry cans atakuwa nazo mkubwa fulani kwahiyo wametumia njia hii zinunuliwe zisibume
Huo ni uwezo halisi wa mamlaka kubuni na kutengeneza ajira kwa Watanzania wasio na kazi.Kinachofuata ipo fursa nyingine yakuuza mafuta ya magendo.Ili kutoa huduma iliyokatazwa katika vituo halali kwa wahitaji..Wenye tumtaji twao msiseme hanma kazi za kufanya.Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta.
Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia njia hii ili kuweza kupata mafuta.
Wanachofanya ni kwamba wanaongea na dereva wa bodaboda anaenda sheli kuweka mafuta kwenye pikipiki halafu waotoa kwenye pikipiki na kuweka kwenye kidumu, wenyewe wanaita kunyonya.
View attachment 3154050View attachment 3154051
Kwa sasa zinapatikana wapi hapa Dar?Just use a Jerry Can. Tumezoea maisha ya kiholela sana. Sisi wakati tunakua hakuna mwenye gari alikuwa hana hili dumu maana ilikuwa marufuku kutumia gallons ambazo hazijaruhusiwa kubebea mafuta kitaalamu. And thats the fact so tutazoea tu.
Hizo hapo jerry can Mkuu, sasa hiyo iliyo wazi hapo huo mdomo kwa ndani una sehemu mbili. Kesho nitapiga picha langu kwa ndani ulione lilivyo huo mdomo.
Kama tatizo ni plastiki,Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta.
Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia njia hii ili kuweza kupata mafuta.
Wanachofanya ni kwamba wanaongea na dereva wa bodaboda anaenda sheli kuweka mafuta kwenye pikipiki halafu waotoa kwenye pikipiki na kuweka kwenye kidumu, wenyewe wanaita kunyonya.
View attachment 3154050View attachment 3154051
Google maana ya Cans kwanza usikurupuke
Hii kali...Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta.
Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia njia hii ili kuweza kupata mafuta.
Wanachofanya ni kwamba wanaongea na dereva wa bodaboda anaenda sheli kuweka mafuta kwenye pikipiki halafu waotoa kwenye pikipiki na kuweka kwenye kidumu, wenyewe wanaita kunyonya.
View attachment 3154050View attachment 3154051
Na ndio Jery cans latest, mamlaka zetu zipo outdated sana
Kwahiyo siyo kweli kuwa wamepiga marufuku kununua mafuta kwa vidumu bali wanataka yanunuliwe kwa kutumia vidumu maalum?Kuna galoni za hiyo kazi Mkuu mbona ni rahisi kabisa kuepuka ghasia
Hapa sasa serikali haina makosa. Kumbe wamekazia aina ya vidumu vinavyoweza kununulia mafuta na siyo kuwa wamepiga marufuku?Ni tangu zamani mkuu, nadhani tangu katikati mwa karne ya 20 si zaidi ya hapo. Wenye namba za uhakika watanisaidia.
Tafiti za kwanza za kuhusu usalama wa statiki katika viwanda za plastiki zilifanywa na mashirika kama National Fire Protection Association (NFPA) na American Institute of Chemical Engineers (AIChE),
Hao sasa ndio waliandika miongozo kadhaa kuhusu usalama wa vifaa vinavyohifadhi, kubeba au kusafirishia kemikali.
Miongozo hii iliangazia jinsi plastiki inavyoweza kusababisha umeme wa statiki na hatari zinazohusiana nayo, ikiwemo mlipuko wa kemikali zinazowaka kama petroli.
Ova
Beba mashine yako ya kupasulia mbao kajaze mafuta sheliSerikali yenu haikuwaza kuwa mafuta yanatumika pia kwenye mashine za kusaga,Engine za boti na mitambo mengine,ambapo pia kwenda na hivyo vitu petrol station ni kazi?!
Huwa ni mihemko ya wanasiasa kwasababu hawakumbwi na kadhia yoyote kati ya hizoSerikali yenu haikuwaza kuwa mafuta yanatumika pia kwenye mashine za kusaga,Engine za boti na mitambo mengine,ambapo pia kwenda na hivyo vitu petrol station ni kazi?!
Idea ni kwamba vibebeo mafuta vya kisasa ni vya plastic huko first world na kuna magari kibao yanakuja na plastic fuel tanks.Google maana ya Cans kwanza usikurupuke
Hakuna can ya plastic
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app