Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Ni huzuni kwa kweli, na ukiachana na hivyo tu, haya gari langu limezima kisa wese nahitaji kufika sheli ila sina hayo mafuta nafanyeje sasa??Serikali yenu haikuwaza kuwa mafuta yanatumika pia kwenye mashine za kusaga,Engine za boti na mitambo mengine,ambapo pia kwenda na hivyo vitu petrol station ni kazi?!
Kuna baadhi ya vitu hata kuwaza tu unaona jinsi tunavyoyumba