Matokeo ya Serikali kukataza kutumia vifaa vya plastiki kununulia mafuta kutoka Petrol Station

Huo ni uwezo halisi wa mamlaka kubuni na kutengeneza ajira kwa Watanzania wasio na kazi.Kinachofuata ipo fursa nyingine yakuuza mafuta ya magendo.Ili kutoa huduma iliyokatazwa katika vituo halali kwa wahitaji..Wenye tumtaji twao msiseme hanma kazi za kufanya.
 
Just use a Jerry Can. Tumezoea maisha ya kiholela sana. Sisi wakati tunakua hakuna mwenye gari alikuwa hana hili dumu maana ilikuwa marufuku kutumia gallons ambazo hazijaruhusiwa kubebea mafuta kitaalamu. And thats the fact so tutazoea tu.
Kwa sasa zinapatikana wapi hapa Dar?
 

Mbona hizo Jerry Can Hadi plastick zipo ?
 
Wabongo tupunguze ubishi, hivyo vidumu mpaka siku vilete majanga ndo akili zikae sawa!
Inashangaza mtu anatoa utetezi watu wenye mashine wanunulie kwenye nini, ina maana maisha yenu yote hamjawahi ziona jerry can?
 
Kama tatizo ni plastiki,

Basi twende na masufuria yenye mifuniko.

Lakini hiyo biashara Yao walioingiza ya madumu Yao ya vyuma hatutayanunua yatadoda.
 
Hatimaye kumekucha mapambano yanaendelea, huu uzi utatumika kuonyesha hali halisi ya huko mtaani baada ya katazo la kutumia vidumu vya plastiki kuwekea mafuta petrol station!
Yeyote atakaekutana na hali hiyo atuwekee hapa tuone
 
Hii kali...
 
Hapa sasa serikali haina makosa. Kumbe wamekazia aina ya vidumu vinavyoweza kununulia mafuta na siyo kuwa wamepiga marufuku?
 
Serikali yenu haikuwaza kuwa mafuta yanatumika pia kwenye mashine za kusaga,Engine za boti na mitambo mengine,ambapo pia kwenda na hivyo vitu petrol station ni kazi?!
Beba mashine yako ya kupasulia mbao kajaze mafuta sheli
 
Serikali yenu haikuwaza kuwa mafuta yanatumika pia kwenye mashine za kusaga,Engine za boti na mitambo mengine,ambapo pia kwenda na hivyo vitu petrol station ni kazi?!
Huwa ni mihemko ya wanasiasa kwasababu hawakumbwi na kadhia yoyote kati ya hizo
 
waliopo upande huo wanakurupuka sana, eti nenda na dumu la chuma alafu liwe ndani ya mfuko ndipo wakupe mafuta. Yaani tuna viongozi wenye uwezo finyu sana wa kudadavua mambo. Tunaumia na kuangamia kwakweli...yaani wamekosa mawazo mazuri ya kutatua hili....tunaamini hawa wakitumia magari mazuri wakala vizuri wakakaa kwenye ofisi nzuri na tukawalipa vizuri..watatuhudumia vizuri maana watapata utulivu wa akili zao...kumbe hakuna kitu MAPOYOYO TUPU YAMEJAA HUKO JAMANI
 
Google maana ya Cans kwanza usikurupuke
Hakuna can ya plastic

Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Idea ni kwamba vibebeo mafuta vya kisasa ni vya plastic huko first world na kuna magari kibao yanakuja na plastic fuel tanks.
Jery cans kilikuwa kibbeo mafuta maarufu enzi hizo ndo maana jina limehama na umaarufu wake,
 
Mbona yale magari yanayosambaza mafuta kwenye minara ya simu matank yake ni plastki au nayo yamezuiliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…