Yes,Tanzania airports authority
Kwa kada moja?Kuna makosa hapo kuna 68% wawili moja kachukuliwa mwingine kaachwa, pia 64% wako watatu mmoja kachukuliwa wawili wakala panga. Hii sio sawa ni double standards, wote wachukuliwe au waachwe.
Angalia vizuri,mwisho wamechukua 85%.Umesema 78, mbona upo selected?
ndioKwa kada moja?
Imekuwaje kwakomkuu tulikuwa wote mi nilikuwa upande wa kada ya mazingirq