Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

mie nnavyoijua badoo unajua ni mtandao wa Malaya
sijui kuhusu dating site

Tujifunze kuthamini research na kuelewa umuhimu WA research..
Research inasaidia watu kupunguza generalisation...

Ni kweli watoto wa chuo wanajiuza je ni wote asilimia 100?
Research zinasaidia kujua .. pengine ni asilimia 70 ina maana kuna asilimia 30 hawahusiki au pengine ni asilimia 20 Tu
Lakini wanachafuka asilimia 80 ingine..


Tafiti zinapingwa Kwa tafiti
 
Kweli mjini shule
Kuna mahala mabinti wa chuo wanakuja kwa minajiri ya kudanga, huwa wanataka mtu wa kutimiza haja zao( mahitaji ). Anaweza akawa na watu wawili watatu. Mfano ukija century cinemax au Pizza Hurt, Subway, maeneo mengine mengi vinakuja sana hivyo vitoto vya chuo kutega inakuwa kama bahatisha. Ila njia ingine kuna wale majaa wa chuo ni wanafunzi wao huwa wanakuwa chawa.. kitambo kidogo kuna mtoto wa waziri X ilikuwa kazi yake kuuza mademu wa chuo .. nina usingizi nikiamka badae nitakupa nondo
 
Vizuri
 
Hao wapigaji.. ki uharisia ukifatilia kwa karibu hukuti mwanachuo.. hao ni matapeli wanatumia wadada wachuo kutangaza ili kuchota akili za wanaume wapenda vya chuo..
Siongelei story ni wateja wangu watoto wa mabibo hostel
 
UmelipwA?fala sana ww ungeenda kino makaburini hapo kazi ingekua rahisi sana.
Nyie vijitu mmekuja mjini baada ya kuitwa chuoni mna tabu sana.Hata sinza hapo ungefanya utafiti wako ukamaliza,
yaani aisee ushamba mzigo.
Itakuwa wewe ni mmoja wapo kati yawaliofanyiwa tafiti
 
Nilitamani ningekuwa nna fund ningeku sapoti research yako iende deep..

Mfano Makamu wa Rais Samia Suluhu amewahi kunukuliwa akikemea tabia ya wanafunzi wa vyuo kujiuza..
Hii ina maana ni tatizo very widespread..
Lakini je limefanyiwa research vya kutosha?

Je ni asilimia ngapi?
Wana matatizo ya uchumi kweli??

Au tamaa na malezi mabovu?
Au kuna tatizo la mfumo wa elimu?
Elimu haizingatii vigezo?Inajali biashara ya kuuza elimu? Wasioukuwa na uwezo mradi wanalipa Ada wanaingia?

Mfano mwaka 2000 kuja chini wadada waliokuwa wanajiuza club bilicanas na Joly club bei ilianzia elfu 30
Leo unaenda club wadada wanajiuza elfu 15 Hadi elfu 5..nini kimetokea?
Wauzaji wengi kuliko wanunuzi?
Uchumi mgumu??
Au mtandao ndo umeongeza wauzaji?
Kuna mengi mno ya kufanyiwa tafiti..

Unaweza kuta wazungu wanakuja kufanya PhD hapa na Sisi tumekaa na kubeza kila mtu akijaribu kufanya tafiti
 
Na kuna wanaokataa pia kutumia kingereza ili wasijulikane kuwa ni university graduates
 
Nilitamani ningekuwa nna fund ningeku sapoti research yako iende deep..

Mfano Makamu wa Rais Samia Suluhu amewahi kunukuliwa akikemea tabia ya wanafunzi wa vyuo kujiuza..
Hii ina maana ni tatizo very widespread..
Lakini je limefanyiwa research vya kutosha?

Je ni asilimia ngapi?
Wana matatizo ya uchumi kweli??

Au tamaa na malezi mabovu?
Au kuna tatizo la mfumo wa elimu?
Elimu haizingatii vigezo?Inajali biashara ya kuuza elimu? Wasioukuwa na uwezo mradi wanalipa Ada wanaingia?

Mfano mwaka 2000 kuja chini wadada waliokuwa wanajiuza club bilicanas na Joly club bei ilianzia elfu 30
Leo unaenda club wadada wanajiuza elfu 15 Hadi elfu 5..nini kimetokea?
Wauzaji wengi kuliko wanunuzi?
Uchumi mgumu??
Au mtandao ndo umeongeza wauzaji?
Kuna mengi mno ya kufanyiwa tafiti..

Unaweza kuta wazungu wanakuja kufanya PhD hapa na Sisi tumekaa na kubeza kila mtu akijaribu kufanya tafiti
 
Wanawake weng sana sahiv wamekua machangudoa kule telegram ndo wako nyomi balaa na dau kwa siku wanaingiza kwanzia 20,000+ sijui kama wataacha uchangu inaonekana hiyo biashara inawalipa sana
 
Kwa Tz wengi wanaitumia mitandao hiyo kama sehemu ya kutafutia Ngono na Pesa,

Tinder- Asilimia kubwa ya waliopo mtandao ule wanajielewa kwa maana shule imepita, huko kuna waliomaliza vyuo vikuu na elimu za juu pia,
Asilimia 50 ni wanaume waliooa wanatafuta Ngono na asilimia 20 ni wanawake walioolewa au kuchumbiwa wanatafuta Pesa, lakini kuna asilimia 30 ya wadada waliomaliza vyuo wapo tu nyumbani maisha bado hayajawanyookea na wanahitaji kuishi maisha ya kicelebrity hawa hawana longo longo salamu mbili anakupa bei yake, (i love open minded women),

Badoo na Hitwe- Huko ndio kama danguro sasa, yaan unajiokotea utakachobahatika nacho hewalaaa kikubwa pesa imetoka na ngono imefanyika, asilimia 90 ya watumiaji wa mitandao hiyo miwili kwa Tz wanauza na kununua,

Facebook- Huko kuna vitoto kuanzia miaka 18 hadi 23 vina mizinga balaaa, vyenyewe vijanja vinamaliza mambo kwa video calls na ndio wanaongoza kwa kula nauli, lol, lakini kuna wale walioshindwa kumaliza shule kwa sababu mbali mbali na vyenyewe vinatembea na Menu, ukimpa Hi anakushushia Menu yake ya bei lakini pia hawa wa Fb wengi ndio wamekimbilia Badoo na Hitwe,

Hi 5 na Tagged- kule kuna wadada na wamama na wababa na wakaka unakaribiana na Tinder kidooogo kwa staha, hauna vurugu sana kama Badoo, na wengi ni wadada wa mjini unakuta wanafanya kazi saluni, migahawani, hotelini, wameolewa, hawajiuzi kiviiile wanatendea haki maana ya Dating App/Site,

Tusibeze tafiti ni nzuri katika kujua nini kinaendelea katika jamii.
 
Vipi ulizingatia pia suala la umri wa washiriki?
 
ethically sidhani kama ni sawa ku recruit participants without their consent and second participants should be aware of the research information..and lastly we have a lot of things to research on,this is wastage of time and resources,sorry.
 

Yeah for sure Mkuu
 
Iliitakiwa uende ukawagonge hao wote ndio uje utoe ripoti mkuu,
 
Wanawake weng sana sahiv wamekua machangudoa kule telegram ndo wako nyomi balaa na dau kwa siku wanaingiza kwanzia 20,000+ sijui kama wataacha uchangu inaonekana hiyo biashara inawalipa sana
Ndo dunia. Binadamu wote tunapenda urahisi wa mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…