Hivyo ndivyo nilikuwa nadhani na ndivyo inapaswa kuwa, trillion 3 kodi inakusanywa na hao mawakala lakini badala ya kuipeleka shirika la bima la taifa (NIC) wao wanabaki nazo mifukoni, halafu wanakuja kurudisha kodi yabkichwa wakati kodi kuna watu wanakaa nazo hawazifikishi serikalini, trillion 3 kila mwaka, ni pesa ya serikali hii, wao walipaswa wachukua comission tu kwa kazi ya kukusanya waliyofanya, baada ya hapo wapeleke shirika la bima la taifa!
Kwahiyo serikali ndio anapewa commission asilimia 18 badala ya kuchukua asilimia 100 halafu hao mawakala ndio wapewe commission asilimia isiyozidi 10, si ndio? Unafaidika nini kuwaza kwa kutumia mabanda ya uwani?!Chukua hio trilioni 3...asilimia 18 ndo hela ya serikali pia hizo zinazobaki zingine serikali inakuja kuzichukua interms of corporate tax..mleta mada shule ulikimbia ama?
"ila kwa hesabu zangu, ukitoa gharama zote na risk zote, atleast kuna Trillion 3 safi kabisa wanabaki nayo kwa mwaka".1.) Suala la kwamba sisi sio wajamaa ni kweli, ila kuna biashara (sekta maalum) tunaruhusu wawekezaji kama mawakala au wasaidizi tu, mfano ni sekta ya umeme, muwekezaji atazalisha lakini lazima apitie Tanesco, uwekezaji wake unaishia kudeal na Tanesco, na sio kuuza moja kwa moja kwa mteja. Hata bima ni kwamba muwekezaji aje kuwekeza kama wakala tu, ila mapato yote ni mali ya serikali, hizi kampuni za bima zinaweza zikawa zinakusanya pesa nyingi kuliko serikali at times, kiulaini kabisa, tena nyenzo yao kubwa ni traffic police, ambao wanalipwa kwa kodi zetu, bila traffic hakuna mtu angelipa hiyo pesa.
2.)Hizo taarifa unazotaka, wewe ndio uzitafute halafu uweke, ila kwa hesabu zangu, ukitoa gharama zote na risk zote, atleast kuna Trillion 3 safi kabisa wanabaki nayo kwa mwaka, tungejemga flyover ngapi kwa hizp pesa? Kama unaona makadirio yangu yako off, basi lete wewe hizo data zako, na sio uniulize mimi
Nakupa hints, 1.) Idadi ya magari nchini 2.) Minimum third party fee kwa mwakaAinisha jinsi ulivyopata hizo Trillion 3
Nakupa vidokezo 1.) Idadi ya vyombo vya moto nchini 2.) Minimum third party feeElezea jinsi ulivyopata hizo Trillion 3
1.) Hivi ni kwanini road license isilipiwe kwenye mafuta?"ila kwa hesabu zangu, ukitoa gharama zote na risk zote, atleast kuna Trillion 3 safi kabisa wanabaki nayo kwa mwaka".
SAWA. PAMBANA MKUU HUENDA UKAIKOMBOA NCHI.
Serikali inachukua asimilia 100 kwenye shirika lake la NIC maana hio ni state owned..sasa serikali ichukue 100% kwenye private institutions yenyewe imewekeza nini? Inaonekana hujui hata nini maana ya biashara...hizo asilimia zingine serikali inakuja kuochukua kama kodi ya corporate tax ambayo ni 30% inayobaki ingine ndo mapato ya hizo private institutions sasa hayo mabanda yako ya mbele yanashindwa hata kuelewa vitu vidogo kama hivyo..kimsingi 30% + 18% = 48% ya mapato inapata serikali wewe uliekimbia shule unataka watu waliowekeza hela zao waipe serikali 100% rudi shuleni..wewe...😀😀😀😀Kwahiyo serikali ndio anapewa commission asilimia 18 badala ya kuchukua asilimia 100 halafu hao mawakala ndio wapewe commission asilimia isiyozidi 10, si ndio? Unafaidika nini kuwaza kwa kutumia mabanda ya uwani?!
Kwani nikifa inawahusu nini,mbona hawaweki madawa hospitali kama hawataki tufeSerikali haiwezi kufanya biashara na haina ubavu wa kuhudumia aina zote za bima kwa watu wote.
Bima ni biashara kama zingine ambazo faida lazima iwe inaonekana.
Kulazimisha kukata bima ni kukukinga wewe na hasara ya majanga usiyotegemea.
Sawa na vile unalazimishwa kufunga mkanda kwenye gari, kufuata sheria zote za barabarani.
Serikali inafaidika vile hamfi hovyo.
Huko serikalini huenda ikawa ni ishu kulipwa bila hongo yani heri hali ibaki ilivyoNani kasema bima haina umuhimu, tunachosema hiyo bima ikusanywe na haya makampuni kama mawakala tu, ila sio wao ndio wachukue hayo mapato, wao wapewe comission kwa kazi ya ukusanyaji, ila hiyo kodi ifikishwe serikalini, maana ni pesa ya serikali, mtu akitaka kudai bima atalipwa na serikali
Acha upumbavu wewe na mada zako za kitoto.Kuna biashara na biashara, mbona sioni kampuni zikizalisha na kusambaza umeme nchini? Bali wote wanazalisha kama mawakala na kumpa Tanesco? Muda mwingine tuwe tunalegeza ubongo kidogo
Sawa. Sasahivi unapendekeza insurance zilipwe serikalini badala ya kampuni binafsi si ndio?. Kila la heri brother.1.) Hivi ni kwanini road license isilipiwe kwenye mafuta?
2.) Je, kutumia sh.50,000/= kulipa TRA kodi Nyumba ya sh.10,000/= ni akili au matope?
3.) Hivi ni kwanini nguzo za zege hazitumiki kama nguzo za umeme?
4.) Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme
5.) Tanzania kuokoa shs. trillion moja kwa kuanzisha TRA EFD app
6.) Napendekeza stika za Wiki ya Nenda kwa Usalama zilipiwe kwenye bima, ukikata bima ukague na gari kabisa na vyote ulipie kwa mara moja
Kama tulivyojikomboa hapa 👆🏽
Na bado tunaendelea hapa 👇🏼
1.) Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii
2.) Napendekeza namba moja ya wakala kwa mitandao yote ya simu
3.) Napendekeza king’amuzi kimoja kwa kampuni zote za ving’amuzi
Yaani Serikali iwekeze kwenye traffic police wanaolipwa mishahara kwa kodi zetu halafu watu wengine waje wakinge tu pesa za bima ya third party kiulaini tu? Wao kwa uwekezaji wao ni wa uwakala tu na watachukua comission kwa bima watakazokatisha, na kama mawakala wa bima wa sasa wanavyochukua comission. Sasa leo hii seriakali ndio inapewa comission kwa pesa ambayo tumashurutishwa na maaskari, we umeona wapi biashara unalazimishwa? Hiyo sio biashara, hiyo ni kodi, maana ni lazima, hivyo third party insurance zote ni kodi ya serikali na ziende serikalini, malipo yote ya bima kwa hao third party yatalipwa na serikali, hatuwezi kuacha watu binafsi wachukue mateillion wakati traffic police wanaosababishabwatu waliope kwa lazima tunawalipa sisi kwa kodi zetu. Hiyo 18% iwe ndio comission yao, inayobaki ni ya serikali, hizo 30% corporate ni nadharia ambazo wengi hukwepa kwa sarakasi mbalimbali, kama walivyotufanya Barrick. Hizo pesa zikaboreshe miundombinu ya barabara , afya na elimu.Serikali inachukua asimilia 100 kwenye shirika lake la NIC maana hio ni state owned..sasa serikali ichukue 100% kwenye private institutions yenyewe imewekeza nini? Inaonekana hujui hata nini maana ya biashara...hizo asilimia zingine serikali inakuja kuochukua kama kodi ya corporate tax ambayo ni 30% inayobaki ingine ndo mapato ya hizo private institutions sasa hayo mabanda yako ya mbele yanashindwa hata kuelewa vitu vidogo kama hivyo..kimsingi 30% + 18% = 48% ya mapato inapata serikali wewe uliekimbia shule unataka watu waliowekeza hela zao waipe serikali 100% rudi shuleni..wewe...😀😀😀😀
Nakupa vidokezo 1.) Idadi ya vyombo vya moto nchini 2.) Minimum third party fee
Sasa si utafute hiyo idadi ya vyombo vya motoVyombo vya moto viko vingapi nchi nzima?
Magari mangapi? Pikipiki ngapi? Bajaji ngapi?
Kama kushurutishwa kulipa thirdparty kutaondolewa hapo sawa, maana halisi ya biashara ndio hiyo , kwamba mnunuzi ana uhuru wa kununua au kutonunu bidhaa / huduma. Lakini serikali inapoanza kushurutishwa raia tena kwa kutumia jeshi la polisi linalolipwa kwa kodi zetu, hiyo inaitwa kodi na si third party tena, na hivyo basi pesa yote inapaswa kwenda serikalini, makapuni yapewe comission tu kwa kazi yao ya uwakala wa kukusanya kodi ya serikali, kama mtu atataka kulipwa bima basi serikali italipa kupitia shirika lake la bima. Hii ni kodi, sio bima, maana ni compulsory!!!!! Trillons and trillions za kodi zinakusanywa halafu hawapeleki seriaklini, why???!!!!Issue ya msingi ni kuondoa compulsory thirdly party motor policy. Hii ni kama inaondoa creativity kwenye insurance industry. Ina guarantee revenues kwa Insurance Companies, come what may, motor vehicles owner lazima wakate. Now, it depend upon your market share kwenye hii portfolio. What about other policies such as life and other general business other than motor vehicle (fire, professional, theft etc)? Regulator yuko kimya na siyo creative. Watu hawana knowledge kuhusu bima na kampuni ziko kimya for as long wananyonya mrija wa hii compulsory policy . Hii kitu itazamwe upya na kisasa. In some countries, the owner is the one who is insured and not the vehicle.
Tena ukiangalia kwa makini ni kama state imposed drain of our foreign currency. Most of insurance Companies are foreign companies whose headquarters are either in Nairobi or London. Hili swala liangaliwe kwa jicho la kizalendo.Kama kushurutishwa kulipa thirdparty kutaondolewa hapo sawa, maana halisi ya biashara ndio hiyo , kwamba mnunuzi ana uhuru wa kununua au kutonunu bidhaa / huduma. Lakini serikali inapoanza kushurutishwa raia tena kwa kutumia jeshi la polisi linalolipwa kwa kodi zetu, hiyo inaitwa kodi na si third party tena, na hivyo basi pesa yote inapaswa kwenda serikalini, makapuni yapewe comission tu kwa kazi yao ya uwakala wa kukusanya kodi ya serikali, kama mtu atataka kulipwa bima basi serikali italipa kupitia shirika lake la bima. Hii ni kodi, sio bima, maana ni compulsory!!!!! Trillons and trillions za kodi zinakusanywa halafu hawapeleki seriaklini, why???!!!!
Na tena wameweka kiwango Kabisa cha kodi ambayo wao wanaiita ‘third party’ , kodi hii ni 120,000/= kila mwaka, utake usitake utalipa kodi hii, na yote inaishia mifukoni mwa wageni wachache. Tukisema tunaambiwa tuende Burundi.Tena ukiangalia kwa makini ni kama state imposed drain of our foreign currency. Most of insurance Companies are foreign companies whose headquarters are either in Nairobi or London. Hili swala liangaliwe kwa jicho la kizalendo.
Exactly, hii kitu iangaliwe vizuriNa tena wameweka kiwango Kabisa cha kodi ambayo wao wanaiita ‘third party’ , kodi hii ni 120,000/= kila mwaka, utake usitake utalipa kodi hii, na yote inaishia mifukoni mwa wageni wachache. Tukisema tunaambiwa tuende Burundi.
Halafu jiulize, kwa mwaka ni watu wangapi wanaenda ku-claim hiyo third party, utakuta hata 100 hawafiki, na kti ya hao 100, 90 watazungushwa mahakamani miaka 20, na hawalipwi, pesa yote wanakula mawakili, lengo ni ku-discourage claims.., kabda mmoja akibahatika anaweza kapata chochote, we fanya uchunguzi utaona