Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Una point sema Am sorry unaitoa wakati ambao sio sahihi
Tupo kipindi cha capitalism na hoja yako ilikuwa na mashiko kipindi cha ujamaa

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Good morning, tunaomba sasa kodi ya ‘third party’ ianze kuwasilishwa serikalini
 
Habari, ni wakati muafaka sasa kodi ya ‘Third party’ ikaanza kuwasilishwa seriakalini
 
Morning, tunasubiri kwa shauku kubwa kodi ya ‘Third party’ kuanza kuwasilishwa serikalini
 
Tujiandae sasa kupokea malipo ya kodi ya ‘third party’ serikalini, naona mambo yameanza huko .., 😂😂😂😂😃😃
 
nani alikudanganya serikali haina hela
 
Muda umefika sasa, kodi ya ‘third party’ ianze kuwasilishwa serikalini
 
Naomba kujua mfano mimi nimekata hyo third part bahati mbaya nikagonga taa ya barabarani ni wao watalipa au mimi niliegonga. Naomba ufafanuzi hapa.
 

hapa kwenye serikali inafaidika vile hamfi hovyo pamenichekesha[emoji16]
 
Kuna hii bima ya vyombo vya matairi mawili huku Zanzibar niliuliza faida yake nikaambiwa ikitokea umemgonga mtu wao ndo watamtibia.
 
Naomba kujua mfano mm nimekata hyo third part bahati mbaya nikagonga taa ya barabarani ni wao watalipa au mm niliegonga..naomba ufafanuzi hapa.
Kama utakubali kulipa basi Tantoads watakupa bill yao ya kurepair damages na mtamalizana. Ila kama huna pesa au hutaki kulipa, Bima yako watalipa halafu wewe utaenda gerezani. Ndio maana madai ya thirdparty huwa ni kidogo sana, na hizi pesa zote huishia mifukoni mwa wageni hasa wahindi.

Ila tunachosema ni kwamba, hii kodi ya ‘Thirdparty’ iwasiliahwe serikalini, na madai yote ya thirdparty yatalipwa na shirika la bima la taifa.
 
Naomba kujua mfano mm nimekata hyo third part bahati mbaya nikagonga taa ya barabarani ni wao watalipa au mm niliegonga..naomba ufafanuzi hapa.
Bima yako ndio itatakiwa kufidia hiyo hasara na sio wewe. Tofauti ni kwamba WEWE hutafidiwa gari lako.
 
Acha upotoshaji Mkuu. Yaani bima yangu ilipe halafu mimi niende gerezani? Naanza kupata wasiwasi kuhusu uelewa wako wa masuala ya bima.
 
Nilichogundua ni kwamba una wivu kwamba kuna watu wanapata hela kutokana na biashara halali ya bima, unataka hiyo hela iende Serikalini kana kwamba Serikali ina sifa ya kutumia hela vizuri. Pili huna uelewa kuhusu sheria na taratibu za biashara ya bima ndio maana bima unaita kodi. I rest my case.
 
Acha upotoshaji Mkuu. Yaani bima yangu ilipe halafu mimi niende gerezani? Naanza kupata wasiwasi kuhusu uelewa wako wa masuala ya bima.
Kwahiyo kisa una bima basi uwe reckless kugonga gonga tu mali za watu? Ingekuwa hivyo watu wangeharibu mali za watu kwa makusudi wakijua bima ipo, in anycase nipo hapa kuelimishwa. Either way, kodi ya ‘third party’ iwasilisjwe serikalini.
 
Sawa. Tunapendekeza sasa, kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini ili tuache kukopa kopa kama mataahira.
 
Ni muda muafaka wa serikali kuanza kupokea kodi yake halali kabisa ya ‘third party’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…