Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii Nchi tamu sana aisee,
Watu Milioni moya
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii Nchi tamu sana aisee,
Watu Milioni moya
[emoji23][emoji23][emoji23]
Heri ungekuwa kimya nisingekuona fala.Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Tatizo mnaongea bila facts,watu million moja mnawajua au mnawasikia arusha jiji iko round laki 5.9 by approximate,huu ni ujinga wa kisiasaPole sana naona unateseka sana na habari za Mwamba Mbowe
We kwa nn unaumia tukisema watu mil 1? Kajinyonge kama hautaki wawe mil 1.Tatizo mnaongea bila facts,watu million moja mnawajua au mnawasikia arusha jiji iko round laki 5.9 by approximate,huu ni ujinga wa kisiasa
Mnaijua namba ya watu 1 million au ni namba ya nyumbu ya ngorongoro mmeiongeza??We kwa nn unaumia tukisema watu mil 1? Kajinyonge kama hautaki wawe mil 1.
Tatizo lako unafikiri kila mtu anakula kwa kuramba matakle wanasiasa kama weweMaimuna una vituko sana tangu msitishiwe posho Lumumba.Mungu akurehemu.Inshaallah!
Yani wewe bila hata kuulizwa,hapa JF unajulikana ni kiumbe dhaifu sana.Huwa unajidhihirisha unavyoandika upumbavu wako.Tatizo lako unafikiri kila mtu anakula kwa kuramba matakle wanasiasa kama wewe
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kajiue kabisa kama hautaki. Ni ya pimbi wa LumumbaMnaijua namba ya watu 1 million au ni namba ya nyumbu ya ngorongoro mmeiongeza??
Kwani wewe inakuuma nini hata wangekuwa 2? Na bado utateseka sanaPole yako mwenyewe unae Leta taarifa ya watu milioni na kuweka ushahidi wa watu 200.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upumbavu ni upi mkuu?Yani wewe bila hata kuulizwa,hapa JF unajulikana ni kiumbe dhaifu sana.Huwa unajidhihirisha unavyoandika upumbavu wako.
Hiyo namba mliyosema ni sahihi? Au ni double standard, sometimes muwe mnakuja na real logic,sio unakuja na mahaba yako kwenye jukwaa,hayana facts.Kajiue kabisa kama hautaki. Ni ya pimbi wa Lumumba
Umeharibu kwenye "heading" watu milioni 1 kwenye mapokezi !!===
View attachment 2156574
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.===Code:Chanzo: https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
View attachment 2156889
View attachment 2156891
View attachment 2156892
===
View attachment 2156566===
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
View attachment 2156953===
"nimetoka gerezani kwa sababu imethibitika sala za binadamu kwa Mungu zina nguvu kuliko majeshi ya Polisi." - Mh. Freeman Mbowe
===
===
View attachment 2156663
===
View attachment 2156503
View attachment 2156504
Upumbavu ni upi mkuu?
Tatizo lako hutaki kusikia maoni tofauti na unachowaza wewe!
Sasa penda kusikia hata usichopenda kusikia
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mkuu, Nyerere yupi aliyenyima watu elimu?Tanzania Ina watu wa ovyo Sana mmetawaliwa na roho mbaya roho za chuki kuombeana mabaya na ndio maana hamuendelei nyerere alikosea Sana kuwanyima elimu
Nawaza kwani Kama wewe ni ccm
Tanzania Ina watu wa ovyo Sana mmetawaliwa na roho mbaya roho za chuki kuombeana mabaya na ndio maana hamuendelei nyerere alikosea Sana kuwanyima elimu
Nawaza kwani Kama wewe ni ccm