Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Washaingia ikulu hakuna tena uchaguzi!
 
Hivi Hawa wote mbowe si kishapitia kweli. Kama wema tu alijiunga wiki moja tu akapitiwa sembuse hawa
 
Hiki Chama kwakweli hapana. Hizi sasa ni sifa
 
Hii kweli sio Sawa
 
Waooo BAWACHAAAAA!!!!
 
Halima alitumia nguvu kubwa kuijenga Bawacha atubu arudi CDM ili mradi atafakari km kweli kosa ni lake amwogope Mungu asife na dhambi sisi hatujui saa wala dakika. Tubu rudi uendelee kujenga Bawacha yako ona inavyonawili hii ni Taasisi.
 
Masikini! Wote hawa walinyimwa haki yao ya kushiriki siasa kwenye nchi yao japo katiba inawaruhusu! Kweli CCM si riziki.
 
Watasikia Sasa??
 
Halima alitumia nguvu kubwa kuijenga Bawacha atubu arudi CDM ili mradi atafakari km kweli kosa ni lake amwogope Mungu asife na dhambi sisi hatujui saa wala dakika. Tubu rudi uendelee kujenga Bawacha yako ona inavyonawili hii ni Taasisi.
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…