Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
CDM ukweli Ina wamama na mabinti wazuri!!
 
Nimefurahi sana kwa kuona jinsi wanawake wa CHADEMA walivyopendezesha siku ya wanawake duniani.

Hawa wanawake ndio wamebeba ndoto za kuwakwamua wanawake wote wa Tanzania kila pembe ya nchi hii.

Ukweli usiosemwa, ni kuwa Wanawake wa CHADEMA ni wanawake majasiri waliopindukia katika kutetea maslahi ya Mtanzania.

MUNGU ibariki CHADEMA.
MUNGU ibariki BAWACHA.
MUNGU ibariki Tanzania.
 
napata shaka na siasa za bawacha

niliwasikiliza kwa kweli malalamiko yao na mifano yao ni hovyo sana ni kama hawajui nini lengo lao kwa taifa wao wanacho waza ni machafuko tuh
 
Hivi Hawa wote mbowe si kishapitia kweli. Kama wema tu alijiunga wiki moja tu akapitiwa sembuse hawa
Sisi wengine tuna lodges kadhaa hapo Dodoma.
Tupo tangu miaka ya "Kizota".
Tuna mpaka "vipande vya picha mjongeo" vya vinavyofanyika wakati wa mikutano ya chama cha mambuzi.

Unatakaa tuweke hadharani ujinga wa viongozi wa chama cha mambuzi!!??
 
Wale Covid 19 naona ni mwemdo wa sura za unyonge - Je wabakie CCM ama waende kwa Zitto.

Hongera Bawacha - nyie ndiyo wawakikishi halisi wa changamoto za wanawake wote wa Tanzania.
 
Sisi wengine tuna lodges kadhaa hapo Dodoma.
Tupo tangu miaka ya "Kizota".
Tuna mpaka "vipande vya picha mjongeo" vya vinavyofanyika wakati wa mikutano ya chama cha mambuzi.

Unatakaa tuweke hadharani ujinga wa viongozi wa chama cha mambuzi!!??
Ficha faragha zao Mkuu. Waonee huruma
 
Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
usinge mposti ungeipata🐒
 
Nimefurahi sana kwa kuona jinsi wanawake wa CHADEMA walivyopendezesha siku ya wanawake duniani.

Hawa wanawake ndio wamebeba ndoto za kuwakwamua wanawake wote wa Tanzania kila pembe ya nchi hii.

Ukweli usiosemwa, ni kuwa Wanawake wa CHADEMA ni wanawake majasiri waliopindukia katika kutetea maslahi ya Mtanzania.

MUNGU ibariki CHADEMA.
MUNGU ibariki BAWACHA.
MUNGU ibariki Tanzania.
Hivi kundi la wale CWT limefanyia Hafla wapi?

Au wamepoteana
 
Hivi kundi la wale CWT limefanyia Hafla wapi?

Au wamepoteana
Wamewaweka juani maskini wa Watu hadi wakazimia. Yaaani ni wajanjawajanja Tu.

20240309_161218.jpg
 
Back
Top Bottom