Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kule vimejaa vigagula na sasa hivi wameleta ChipukiziiiWamejawa na nyuso za furaha sio wale visirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule vimejaa vigagula na sasa hivi wameleta ChipukiziiiWamejawa na nyuso za furaha sio wale visirani
CDM ukweli Ina wamama na mabinti wazuri!!Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
.....na rangi za ukwaju, hahahaha! Huwa wananikeraaa sema basi tuu.Wamejawa na nyuso za furaha sio wale visirani
Sisi wengine tuna lodges kadhaa hapo Dodoma.Hivi Hawa wote mbowe si kishapitia kweli. Kama wema tu alijiunga wiki moja tu akapitiwa sembuse hawa
Wako wengi huwezi kuona mmoja mmojaSijui macho yangu, sijamuona hata member m1 wa COVID 19.
Ficha faragha zao Mkuu. Waonee hurumaSisi wengine tuna lodges kadhaa hapo Dodoma.
Tupo tangu miaka ya "Kizota".
Tuna mpaka "vipande vya picha mjongeo" vya vinavyofanyika wakati wa mikutano ya chama cha mambuzi.
Unatakaa tuweke hadharani ujinga wa viongozi wa chama cha mambuzi!!??
Umemsikiliza Jokate na Makamba?😂😂napata shaka na siasa za bawacha
niliwasikiliza kwa kweli malalamiko yao na mifano yao ni hovyo sana ni kama hawajui nini lengo lao kwa taifa wao wanacho waza ni machafuko tuh
I am sure umeandika huku unaona Aibunapata shaka na siasa za bawacha
niliwasikiliza kwa kweli malalamiko yao na mifano yao ni hovyo sana ni kama hawajui nini lengo lao kwa taifa wao wanacho waza ni machafuko tuh
Achana nae, aaandika ugoro mtupuUmemsikiliza Jokate na Makamba?😂😂
usinge mposti ungeipata🐒Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Hivi kundi la wale CWT limefanyia Hafla wapi?Nimefurahi sana kwa kuona jinsi wanawake wa CHADEMA walivyopendezesha siku ya wanawake duniani.
Hawa wanawake ndio wamebeba ndoto za kuwakwamua wanawake wote wa Tanzania kila pembe ya nchi hii.
Ukweli usiosemwa, ni kuwa Wanawake wa CHADEMA ni wanawake majasiri waliopindukia katika kutetea maslahi ya Mtanzania.
MUNGU ibariki CHADEMA.
MUNGU ibariki BAWACHA.
MUNGU ibariki Tanzania.
Wamewaweka juani maskini wa Watu hadi wakazimia. Yaaani ni wajanjawajanja Tu.Hivi kundi la wale CWT limefanyia Hafla wapi?
Au wamepoteana
🤣 🤣 🤣Hawajasombwa na maroli kweli hawa?
johnthebaptist ebu njoo uweke kumbukumbu sawa huku