evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Halima mdee big up sana. Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.
yaani mkuu hunifikii mimi kwa jinsi navyosubiri...nilitukanwa majina yote hadi nikaitwa shoga mse.nge kwa kumpigia debe magufuli...Mungu amejibu maombi ya wengi wema....na siku ya kuapishwa lazima nitie timu taifa.....kuna kitu cha kipekee ambacho sijawahi fanya itabidi nifanye
Mtemvu nae anapumulia machine
MTEMVU chaliiiiiiiiiiii...chaliiiiiii...!!!
chaliiiiii..... chaliiiiiiiiiii....ITV live..!!
La Mtatiro linauma kupita maneno yanayoweza kuelezeka kwa lugha ya kiswahili, labda kama kiswahili kitakua na kupata maneno yanayoweza kuelezea uchungu uliozidi kipimo. Anatropia atueleze alilipwa shs.ngapi.., hawezi kuachwa hivi hivi tu..
Angeshinda hasanali. Pamoja na yule mucadam wa cuf kuendelea na kampeni tofauti ya zungu na hasanali ni kura elfu 3 tuHasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.
Nyang'anyang'aaa ndembendembeee kifoo cha mendeeeeh
Tayari, Mdee Kidedea....Kipii ChaliiiiTayali mdee wamemtangaza au bado kamanda nipe report kamili
MTEMVU chaliiiiiiiiiiii...chaliiiiiii...!!!
chaliiiiii..... chaliiiiiiiiiii....ITV live..!!
Wakuu sio mbaya kwenye kila challenge kuna kitu cha kujifunza (somo). Tunatakiwa kushukuru haya yametokea tena Dar es Salaam, yatatoa somo zuri sana kwa Ukawa katika chaguzi zijazo.