Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Hasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.

Numbers do not lie bt people do including Barafuyamoto. Ningekuwa wewe ningeangalia kwanza matokeo yakoje na mtoa mada anamaanisha nn. Zungu na Hassanal wameachana kula 3000-huku ndiko kukubalika? Kura za mgombea wa Cuf zingeenda kwa Hassanal kama makubaliano yalivyokuwa huyo mkubalika wako angepigwa chini tu hutaki unaacha.
 
yaani mkuu hunifikii mimi kwa jinsi navyosubiri...nilitukanwa majina yote hadi nikaitwa shoga mse.nge kwa kumpigia debe magufuli...Mungu amejibu maombi ya wengi wema....na siku ya kuapishwa lazima nitie timu taifa.....kuna kitu cha kipekee ambacho sijawahi fanya itabidi nifanye

Usinye Tu Mkuu. Nadhani Tutakutana Wote Huko Shamba La Bibi Tarehe 5 November, 2015.
 
wanajitahidi sana kupindisha matokeo lakini wanashindwa kulifikia gape ambalo LOWASA AMEMUACHA MAGUFULI, SASA TUENDELEE KUVUTA SUBIRA.

Ila mimi naamini Mungu ataudhihilishia ulimwengu kuwa Tanzania ni ya Watanzania na Sio ya CCM, kwasababu soon LOWASA atatangazwa kuwa Raisi wa Tanzania na Jeuri yao kuishia hapo, mimi naamini kabisa, Tulianza na Mungu na Sasa Mungu ndiye anaisimamia haki ya Watanzania, huku wakijaribu kuzuia hila zozote zinazo weza kufanywa na CCM katika kura za URAISI.

tuute Subira na sasa Maajabu yatafanyika, tusivunje amani ili tupate Tuzo ya AMani, kwani Dunia Nzima inatutazama na inajua kuwa CCM imepigwa chini kwa kura nyingi sana, Umoja wa Mataifa wanajua, DW wanajua BBC wanajua na vyombo vya habari vingine na hata wenyewe CCM wanajua mwaka huu Maajabu yatatendeka.
 
Yaani UKAWA watajutia makosa yao ktk majimbo ya SEGEREA, ILALA NA KIGAMBONI...!!! Maana yooote yangeenda UKAWA...i mean majimbo yote DAR yangeenda UKAWA...!!!

UKAWA mtajutia majimbo hayo 3 kwenda CCM, kwa uzembe kabisa.. sbb UKAWA wangechukua tu...!!!
 
La Mtatiro linauma kupita maneno yanayoweza kuelezeka kwa lugha ya kiswahili, labda kama kiswahili kitakua na kupata maneno yanayoweza kuelezea uchungu uliozidi kipimo. Anatropia atueleze alilipwa shs.ngapi.., hawezi kuachwa hivi hivi tu..
 
La Mtatiro linauma kupita maneno yanayoweza kuelezeka kwa lugha ya kiswahili, labda kama kiswahili kitakua na kupata maneno yanayoweza kuelezea uchungu uliozidi kipimo. Anatropia atueleze alilipwa shs.ngapi.., hawezi kuachwa hivi hivi tu..

na iwe ivyo
 
Nyang'anyang'aaa ndembendembeee kifoo cha mendeeeeh

Pia Simanjiro... Ole Sendeka CHALIIII CHALIIIIII... CHALIIIIII.....kwishaaaaa...!!!!

James Ole Millya, CDM aibuka kidedea kwa kishindooo...huko Manyara...!!
 
Wakuu sio mbaya kwenye kila challenge kuna kitu cha kujifunza (somo). Tunatakiwa kushukuru haya yametokea tena Dar es Salaam, yatatoa somo zuri sana kwa Ukawa katika chaguzi zijazo.
 
Wakuu sio mbaya kwenye kila challenge kuna kitu cha kujifunza (somo). Tunatakiwa kushukuru haya yametokea tena Dar es Salaam, yatatoa somo zuri sana kwa Ukawa katika chaguzi zijazo.



Na UHAKIKA...100%... DAR nzima ingekuwa CHINI ya UKAWA... kama UKAWA wangeungana...!!! Sbb ni hayo majimbo 3 tu, ambayo CCM itapata DAR...!!!
 
Ukawa wamekosa segerea kwa uzembe mkubwa, nawalaumu viongozi ktk hili wengine baadae
 
Back
Top Bottom