Hahahahahahah.....mwanaume halisi anakunywa gongo na zinazofanana na hizo kama unakunywa castle lite wewe ni mdada anza kupaka wanja
kama ni mwanamke unakunywa bidhaa za aina ya gongo hongera ushakuwa baba sasa
acha tu aisee! nilijikuta najuta na kuichukia sana pombeUlijisikiaje asubuhi?
Nilikusubiri kwa hama sana uje useme ukilewa unafanya vituko gani[emoji23][emoji23][emoji23]Najiona mwenye chongo kwenye kundi la vipofu.... tehteehhh
Sema vyako kwanza, mimi nitamalizia vyangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo ni kawaida kwa new comer wa ulabu ujue.
Kila saa napita hapa kuangalia vituko vyako sioni[emoji40]
Ulidhani ada niliyokulipa ilienda bure?Aisee, kumbe siku izi unajua kusoma[emoji6]
nikunywa kiac tu sema kichwa changu kibovuDuh! Wewe sasa ulizidisha hiyo pombe![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ulimchenjia tu kwa akili zako sio kwa pombe, maana uzuri wa vituko vya pombe ikiisha kichwani na uliyoyafanya nayo yanaishia hapo hapoKwa maneno ila shughuli aliipata maana alinizingua uwanja wa home. Alikula kichapo na nje akatolewa. Hapa katoka nipigia simu nimemwambia namba yangu aione kama kituo cha polisi
Hahahahahah......huwaga wanasema ukilewa lazima uongee ukweli lakini hiyo kitu kwangu mimi iko tofauti yani, nikilewe nakuaga muongo vibaya mnoooooo, Pia shule yenyewe ni ya hapa na pale lakin zile alc 36% za miwa zinanifanyaga niwe msomi kishenzi sana
Ladies first, izingatiwe.Sema vyako kwanza, mimi nitamalizia vyangu
Na kweli, japo ulikimbia darasa ila naona ukufunzi wangu wa UPE umesaidia.Ulidhani ada niliyokulipa ilienda bure?
Khaaaaa wewe ni kekuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa nilianza ongea balaa, mbaya zaid nikaanza kuomba dushe mbele za watu, jamaa kuona vile akanipakia kwenye gari kunirudsha hm, kilichoendelea ndani ya gari ctakagi hata kukumbuka. "shikamoo pombe"
ha ha ha ha!Khaaaaa wewe ni ke
Unakuta mtu anasema ukweli lakini sisi tunasema hiyo ni pombe tu maaajabuhahahaha, ushuhuda wa pombe: Nje ya mada: Kuna kaka huwa tunalewa naye, eti siku hiyo alivyolewa akaanza kuongea kwa sauti kubwa "YAANI MIMI NIKINYWA POMBE, LAZIMA ASUBUHI YAKE NINYE, TENA NAKUNYA MAVI MENGIII, NAKUNYWA MARA TATU" hahahahah. Halafu ni kaka "hensamu" mtumishi wa NSSF. hahahahahah Pombe hiiiiziiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha ha! ni mambo ya aibu sana mkuu, licha ya kupigwa dushe ndani ya gari, kufika home nilifunguliwa na mama, c nikaanza mlazmisha jamaa twende tukaendeleze game ndani huku mama kacmama mlangoni ananisubiri niingie ndani ili afunge mlango.