Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

mwanaume halisi anakunywa gongo na zinazofanana na hizo kama unakunywa castle lite wewe ni mdada anza kupaka wanja
kama ni mwanamke unakunywa bidhaa za aina ya gongo hongera ushakuwa baba sasa
Hahahahahahah.....
 
Okota hii!! Pombe haiufnyi ubongo upoteze kumbukumbu ila inaufanya ubongo ushindwe kutengeneza kumbukumbu mpya.. Na ndio maana mlevi matukio yote kabla hajawa bwi bwax anakumbuka yote ila baada ya kuwa anatema mate kulia na kufukia kushoto Hakumbuki matukio yake mapya..


Sisi wa soda, wajaza nzi, day care hatuna cha kuchangia.
 
Kwa maneno ila shughuli aliipata maana alinizingua uwanja wa home. Alikula kichapo na nje akatolewa. Hapa katoka nipigia simu nimemwambia namba yangu aione kama kituo cha polisi
Wewe ulimchenjia tu kwa akili zako sio kwa pombe, maana uzuri wa vituko vya pombe ikiisha kichwani na uliyoyafanya nayo yanaishia hapo hapo
 
huwaga wanasema ukilewa lazima uongee ukweli lakini hiyo kitu kwangu mimi iko tofauti yani, nikilewe nakuaga muongo vibaya mnoooooo, Pia shule yenyewe ni ya hapa na pale lakin zile alc 36% za miwa zinanifanyaga niwe msomi kishenzi sana
Hahahahahah......
 
kuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa nilianza ongea balaa, mbaya zaid nikaanza kuomba dushe mbele za watu, jamaa kuona vile akanipakia kwenye gari kunirudsha hm, kilichoendelea ndani ya gari ctakagi hata kukumbuka. "shikamoo pombe"
Khaaaaa wewe ni ke
 
hahahaha, ushuhuda wa pombe: Nje ya mada: Kuna kaka huwa tunalewa naye, eti siku hiyo alivyolewa akaanza kuongea kwa sauti kubwa "YAANI MIMI NIKINYWA POMBE, LAZIMA ASUBUHI YAKE NINYE, TENA NAKUNYA MAVI MENGIII, NAKUNYWA MARA TATU" hahahahah. Halafu ni kaka "hensamu" mtumishi wa NSSF. hahahahahah Pombe hiiiiziiiiiii
Unakuta mtu anasema ukweli lakini sisi tunasema hiyo ni pombe tu maaajabu
 
ha ha ha ha! ni mambo ya aibu sana mkuu, licha ya kupigwa dushe ndani ya gari, kufika home nilifunguliwa na mama, c nikaanza mlazmisha jamaa twende tukaendeleze game ndani huku mama kacmama mlangoni ananisubiri niingie ndani ili afunge mlango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom