Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Mbona alishaitwa na jopo la krimu ya taifa na wakamsihi aachie ngazi akakataa?
 
 
TETESI: Kanisa la TAG huko Jijini Tanga lachomwa moto.
 
Mwenye taarifa ya kanisa la TAG Tanga kuchomwa moto atujuze.
 
ajiuzuru mtuuuuuuuu,,,,ajiuzuru wapi....amalize tifu la udini ma hali ya hatari hii ndo ajiuzuru,,,nani ataiweza nchi ilivoanza kuwa viraka viraka hivi,me hata ukinilazimisha urais kwa sasa naenda mahakamani kuukataa...
 
Umeleta matukio vizuri sema umekosea kuyaleta the way yalivyotokea mfano Mwangosi kuuwawa ktk maandamano haramu ya cdm n.k
 

Kwa kuwa wewe si Rais Kikwete, kuwa mpole endelea na shughuli zako.
 
Umeleta matukio vizuri sema umekosea kuyaleta the way yalivyotokea mfano Mwangosi kuuwawa ktk maandamano haramu ya cdm n.k

Nalifanyia uchunguzi,Nitarekebisha kulingana na ripoti nitakayo ipata hivi punde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…