Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinda ask the same question. FL1 please do the needful kujibu hili swali!!!
Hivi hili li sredi bado liko hewani? Kweli Infidelity Haikwepeki lol!
Let me ask! How does infidelity starts! Im newly wedded to spouse and I have never thought of cheating to her! Based on this little experience in my marriage it sounds so odd and disgusting having an affair out of your marriage!
What circumstantial reasons or a cause that makes a man think of having an affair! Can somebody tell us his personal story on how started and why? How do you handle that guilty after an affair! It may help others to fall in the same trap!
mbaya sana hii.........!Hii ni TRUE but VERY SAD story! (Apology kama mhusika naye ni member):
A friend of mine alikuwa anafanya kazi na kampuni moja kubwa hapa Tanzania - alikuwa kitengo kinachohusika na uangalizi wa mali. Aliondoka asubuhi na kumdangnya mkewe kuwa atakuwa anasafiri kikazi kwenda Makao makuu ya hiyo kampuni (yeye alikuwa kwenye branch - mikoani). Kumbe jamaa alikuwa hajasafiri bali yupo mtaani anakula raha na small-house! Huku nyuma mtoto wao mchanga akazidiwa na KUFARIKI (RIP)
Familia ikachukua all the effort kutuulisha yaliyojiri - pale ofisini kila mtu alikuwa anafahamu kuwa jamaa hajasafiri bali yupo hapo mjini - tatizo ni kwamba alikuwa amezima simu pia. Wafanyakazi wenzake walificha ili kum-cover mwenzao - huku wakiendelea kumtafuta kwenye possible "guest houses" bila mafanikio.
Huyu jamaa alipotoka "mafichoni" alipitia ofisini - kila mtu akiogopa "ku-break news" - but at the end ikabidi wamwambie: remember hii ilikuwa ni siku ya pili jioni: Jamaa alizindikizwa hadi kwake na akakuta tayari mwili umeagwa watu wanaelekea MAKABURINI!
SO SAD - BUT - IT HAPPENED :
Hii ni TRUE but VERY SAD story! (Apology kama mhusika naye ni member):
A friend of mine alikuwa anafanya kazi na kampuni moja kubwa hapa Tanzania - alikuwa kitengo kinachohusika na uangalizi wa mali. Aliondoka asubuhi na kumdangnya mkewe kuwa atakuwa anasafiri kikazi kwenda Makao makuu ya hiyo kampuni (yeye alikuwa kwenye branch - mikoani). Kumbe jamaa alikuwa hajasafiri bali yupo mtaani anakula raha na small-house! Huku nyuma mtoto wao mchanga akazidiwa na KUFARIKI (RIP)
Familia ikachukua all the effort kutuulisha yaliyojiri - pale ofisini kila mtu alikuwa anafahamu kuwa jamaa hajasafiri bali yupo hapo mjini - tatizo ni kwamba alikuwa amezima simu pia. Wafanyakazi wenzake walificha ili kum-cover mwenzao - huku wakiendelea kumtafuta kwenye possible "guest houses" bila mafanikio.
Huyu jamaa alipotoka "mafichoni" alipitia ofisini - kila mtu akiogopa "ku-break news" - but at the end ikabidi wamwambie: remember hii ilikuwa ni siku ya pili jioni: Jamaa alizindikizwa hadi kwake na akakuta tayari mwili umeagwa watu wanaelekea MAKABURINI!
SO SAD - BUT - IT HAPPENED :
mbaya sana hii.........!
dah
Hii ni TRUE but VERY SAD story! (Apology kama mhusika naye ni member):
A friend of mine alikuwa anafanya kazi na kampuni moja kubwa hapa Tanzania - alikuwa kitengo kinachohusika na uangalizi wa mali. Aliondoka asubuhi na kumdangnya mkewe kuwa atakuwa anasafiri kikazi kwenda Makao makuu ya hiyo kampuni (yeye alikuwa kwenye branch - mikoani). Kumbe jamaa alikuwa hajasafiri bali yupo mtaani anakula raha na small-house! Huku nyuma mtoto wao mchanga akazidiwa na KUFARIKI (RIP)
Familia ikachukua all the effort kutuulisha yaliyojiri - pale ofisini kila mtu alikuwa anafahamu kuwa jamaa hajasafiri bali yupo hapo mjini - tatizo ni kwamba alikuwa amezima simu pia. Wafanyakazi wenzake walificha ili kum-cover mwenzao - huku wakiendelea kumtafuta kwenye possible "guest houses" bila mafanikio.
Huyu jamaa alipotoka "mafichoni" alipitia ofisini - kila mtu akiogopa "ku-break news" - but at the end ikabidi wamwambie: remember hii ilikuwa ni siku ya pili jioni: Jamaa alizindikizwa hadi kwake na akakuta tayari mwili umeagwa watu wanaelekea MAKABURINI!
SO SAD - BUT - IT HAPPENED :
Hapa sio suala la mke kugundua...ni guilt conciousness....Lord have mercy!...hapo huyo mzinzi ajitahidi kuficha hivyo hivyo mkewe acjegundua kama alikuwa town anafanya uasherati wake, khaa huruma kwa mwanamke mwenzangu.
Asprin + RR sijajisikia kujibu swali hapa kwa sasa sawa eeh... chungulieni Piiiiieeeeeeemuuuuuuuuuuuuuuu zenu.
nyamayao sjui kwanini nimetamani nikusalimie. hali yako ?umeona haya mambo yenu hayana faida, huyu mzinzi kitamuuma/kitamtesa maisha yake yote.
Infidelity bado zinaendelea leo....
hehehe!
sikuwahi kufikiria kama hii sredi ingeshika hatamu