We dada kunywa sprite kwa MangiNimemmind, siyo mara ya kwanza anaongelea hiyo issue kwenye nyuzi tofauti tofauti. Halafu anajidai aliogopa akahisi ni kama yeye.
Ukiamua kuwa kamati ya roho mbaya jioneshe wazi. Kaanga sumu haswa wenzako tukujue tukualike na kwenye vikao. Hamna haja ya kujidai kama mtakatifu huku unakaanga sumu kinafki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Mmesahau ya yule dada maarufu mwenye kipini puani...Nilibahatika kuona picha yake ahhaha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Humble African Vs CCNP Eng.
Jamaa hadi kabadirisha ID from CCNP ENGINEER to Mama Deborah.
Before alikuwa anajiita Padre Mcharo.
Kumbe kuna vingi sijaona aisee...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jesus! ndo yule mwenyewe hasira vile?!
Natamani siku moja amshambulie Humble African halafu tuone Nani mbabe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaa jamani Jf nzito khaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amehamishia mashambulizi kwa wadada
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jaribu kuunganisha matukio.hahahaa jamani Jf nzito khaa...
@Humble African anamjulia Sana kumpasua yule Engineer. Ila hawezi kumvaa humble anamuogopa vibaya.Natamani siku moja amshambulie Humble African halafu tuone Nani mbabe.
Maana kutwa kushambulia wadada
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu kweli ehee! Mama Deborah muandiko wake Ni ule ule Kama wa CCNP ENGINEER na Padri Mcharo.Humble African Vs CCNP Eng.
Jamaa hadi kabadirisha ID from CCNP ENGINEER to Mama Deborah.
Before alikuwa anajiita Padre Mcharo.
Duh,alafu Kuna baharia kaanzisha uzi anampenda mama Deborah,kumbe ni dumeAfu kweli ehee! Mama Deborah muandiko wake Ni ule ule Kama wa CCNP ENGINEER na Padri Mcharo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani siku moja amshambulie Humble African halafu tuone Nani mbabe.
Maana kutwa kushambulia wadada
Sent using Jamii Forums mobile app
Link sijui kuweka ila comments za juu Kuna link Ngoja nitafute nikuonyeshe..Kwa hiyo mdogo wangu uligoma kabisa kunipa link ya huo uzi
Ooh haujafutwa? Ngoja nitafuteLink sijui kuweka ila comments za juu Kuna link Ngoja nitafute nikuonyeshe..
Uzi alianzisha Bachela sugu unaitwa Battle Humbled African vs CCNP engineer
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamkumbuka yule Gire aliyetusababishia ban wambea wote wa jf wewe ulipona?
Ooh ahsante sana, naomba nitumie pm ili iwe rahisi kuipata kila nikitaka kuingia
Sio money penny, alikua anajiita Husna De bosslady akipretend kuwa headteacher kama sikosei 😂😂Kuna mtu alikuwa anavunga demu na ID ya kike humu alikuwa anatingisha Vidume wa JF kama Money Penny vile huko MMU.
Mara Paaap, Mods wakafanya yao ( Kuunganisha IDs ) akawa Erick otieno.
Tehe Tehe!
Usiniambie mdogo wangu kwambaWewe jaribu kuunganisha matukio.
Angalia miandiko..utagundua ni uleule.
Sent using Jamii Forums mobile app