Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Ila ile siku ziwekwe picha za utupu niliogopa sana..
Nilihisi kama ni mm vile
Tarehe 13 jan 2018 Ontario kalipuliwa
Tarehe 13Amay 2020 Wa uswiz kalipuliwa
Tarehe 16 june 2017 Raimundo akalipuliwa..
Huzo tarehe vipi wakuu
Hizo picha za utupu unazojidai uliogopa, ungeogopa wala usingetaka kulikumbushia. Ila umekumbushia maana ulipenda na unatamani tukuulize zilikuwa ni za nani.
Subiri siku upatwe tukio lako hapa Jf. Tutakuwa tunakumbushia kila baada ya wiki.
 
Aisee 😀😀
Nimemmind, siyo mara ya kwanza anaongelea hiyo issue kwenye nyuzi tofauti tofauti. Halafu anajidai aliogopa akahisi ni kama yeye.

Ukiamua kuwa kamati ya roho mbaya jioneshe wazi. Kaanga sumu haswa wenzako tukujue tukualike na kwenye vikao. Hamna haja ya kujidai kama mtakatifu huku unakaanga sumu kinafki.
 
Anatembea na zangu au natembea na zake? Kwanza hiyo hela sina atajitia dhambi tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Zake muhimu tuzile
Naona leo mmeamuamulia 13 mega pixel tatizo lake ni moja ukiweka hela za vicoba vibaya anatembea nazo [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemmind, siyo mara ya kwanza anaongelea hiyo issue kwenye nyuzi tofauti tofauti. Halafu anajidai aliogopa akahisi ni kama yeye.

Ukiamua kuwa kamati ya roho mbaya jioneshe wazi. Kaanga sumu haswa wenzako tukujue tukualike na kwenye vikao. Hamna haja ya kujidai kama mtakatifu huku unakaanga sumu kinafki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo picha za utupu unazojidai uliogopa, ungeogopa wala usingetaka kulikumbushia. Ila umekumbushia maana ulipenda na unatamani tukuulize zilikuwa ni za nani.
Subiri siku upatwe tukio lako hapa Jf. Tutakuwa tunakumbushia kila baada ya wiki.
Ilikuwaje hiyo?
 
Back
Top Bottom