Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Kuna ID moja ilikua inaitwa Clever nini sijui..... Ilileta tafrani humu jukwaani na isipotolewa maelezo huu uzi utakua kama data za corona TZ.

Genta.
 
Jamaaa napanga kuonana naye next month CORONA IKIPUNGUA... KIPIND HICHO NATUMIA ID YA @willo12 BWANA aise NAYE HAKUNISOMA KABISA . PM ZILIKUWA NYINGI SANA...KISA PICHA YA KISHUNDU
Umeshaonana nae?
Msalimie sana.
 
Miaka hiyo jf wings(Arusha, Tanga nk) kulikuwa na mambo sana humu. Itakuwa watu walichapana sana, hivi mnafanya tour na strangers kweli tena wenye IDs fake, lazima hawa walizichapa sana.
 
Back
Top Bottom