Matumizi ya E-mail kuchepuka

Shakuwa mtu mzima, watoto wako sio wadogo wa kusumbua, si namwachia Nyumba, akae hapo na wanae naenda tafuta mwanamke mwingine, kwani tunasumbuana basi?
Nikushauri acha kumpekua, binadamu ni complex, hachungiki....unaweza kumfatilia kumbe anatumia device ya mtu mwingine kufanya mawasiliano ovu...

Trust the universe, siku universe ikiamua kukutaarifu ujue....utajua hata Kama hujui PW ya simu yake, niamini.

Just be good....na mzani utabalance.
 
Sasa umeamua kutoa Siri. Unawasanua shemeji zako au sio. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa mshamba basi hii njia utaona ya kijanja sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umetisha
 
Program Gani hiyo. Toa utaalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…