Nipe pm jamani, kuna Mtu ana hela ananibembeleza nimchune🤣🤣🤣 Naogopa kufumaniwa Mie🤣🤣Niko na new iyo sitoi nisije kuanza kuchunguzwa, inawezekana Mr yupo uku nikaachika [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe pm jamani, kuna Mtu ana hela ananibembeleza nimchune🤣🤣🤣 Naogopa kufumaniwa Mie🤣🤣Niko na new iyo sitoi nisije kuanza kuchunguzwa, inawezekana Mr yupo uku nikaachika [emoji16]
Weee jamaaa upo serious sana aiseee yaaani umeyavalia njuga kabisa 🤓🤓🤓🤓Naangakia haya for 17 years, na aina ugonjwa, ila namjali, nampa kila kitu anataka, siku akiharibu hana cha kujitetea.
Hapana chezea wewe jamaaKwa hao wanaume wenu mafala, Hata hapo kwa rafiki si itasoma tu, wewe uelewi nachosema, na hujui, basi tu mnajiona wajanja, ila kwangu lazima nikushike tu.
Ngoja nisikusanue... Ila trust me ukute anajua unamfuatilia na ana mbinu zake za kukuepuka.Kwa hao wanaume wenu mafala, Hata hapo kwa rafiki si itasoma tu, wewe uelewi nachosema, na hujui, basi tu mnajiona wajanja, ila kwangu lazima nikushike tu.
nipe mupyaMbinu ya kale, sema tukupe mupya
Ngoja nisikusanue... Ila trust me ukute anajua unamfuatilia na ana mbinu zake za kukuepuka.
Binadamu hachungwi
Nipe pm jamani, kuna Mtu ana hela ananibembeleza nimchune[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naogopa kufumaniwa Mie[emoji1787][emoji1787]
Shkamo, Una moyo hasa.....Ila huyo unamtafutia angle ya kumuacha au wewe kujidhuru.....huwezi kumchunguza bata hivo huku unapenda nyama yake.....too muchHajui, maana wananiteta sana na Mama yake, vibaya mno, mno, Mama anamwambia jitahidi basi unitumie hela, tafuta namna huyo mwanaume hawezi kukunyima, naona zote...
Naona text anatongozwa mpaka na ndugu zangu, naona mpaka wakati mwingine anawaambia watu wanaomtongoza, mimi nimerizika na mume wangu.
Naona vitu ambavyo angekua naona asingekuwa na amani kabisa, mengine ananitukana na ma best zake kiaina, etc.
Shkamo, Una moyo hasa.....Ila huyo unamtafutia angle ya kumuacha au wewe kujidhuru.....huwezi kumchunguza bata hivo huku unapenda nyama yake.....too much
Nitakupa asilimia kumi ya mapato🤣🤣🤣Kweli wewe Mama Kei [emoji23]
Mimi unanipa kiasi gani?
uttoh2002 anasema no matter what hata akitumia printer. Yeye kasema atampata tu..😂😂😂😂No signal
Unachokitafuta utakipata...🤣🤣🤣Dhambi pekee nitakayimhesabia mke wangu ni kulala na mwanaume, mengine yote nitavumilia.
nipe mupya
Bado ujamuelewa huyo jamaa...Unachokitafuta utakipata...🤣🤣🤣
Unachokitafuta utakipata...🤣🤣🤣