Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Shida ya ugali hauna protein, hata carbs content ni ndogo kwa sembe, sasa imagine mtu anakula ugali na sansa😂😂?
Ongezea sembe na hombo mlenda wa unga.au mtu anakula michembe na matobolwa hamna kitu hapo hayo yote ni mavyakula ya modification.tena sansa siielewagi imekaa kama nywele za mwigulu nchemba
 
Ugali hauongopi matokea yake hata humu yanaonekana. Ugali, wali mweupe, ngano nyeupe, unga wa Mchele hivi vyote matokeo yake ni same.
 
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Angalizo: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
7a7a24a1ad7b47209d3a99ada1d259a8.jpg
 
Hakika mkuu,leo imekuwa wazungu ushoga na usagaji ndio mtindo wa maisha,Sasa hapo akili ipo wapi? Yaani mtu mwenye akili kweli anaweza kuamini kuwa mwanaume kufanya sexual transplant ili awe Kama mwanamke ni sawa? Yaani na yeye atumike Kama mwanamke! Hivi jamani does it make sense kuwa anus itumike kufanya ngono, kweli njia ambayo purposely ni kwa ajili ya kutoa uchafu?
Kama matokeo ya akili za kula ngano kwa so called wazungu na westerners ndio hayo
Basi Bora mm niendelee kula Dona la mahindi mpk naingia kaburini aisee
Mwenyezimungu atuepushie fikra potofu juu ya kile kinacho dhaniwa ni haki kumbe ni batwili ILIYO pitiliza ifike hatua Imani zirejee nyoyoni mwetu, kuliko kuwa fanya wazungu kama macrietor wa duni yupo yule aliye juu yao.
 
Ni umasikini wetu tu, lakini ugali hauna tatizo lolote. Hata hivyo vyakula mnavyodhani vinavirutumisho, huwa vinaongezewa viwandani. kama mtengenezaji ana claim kuna Carb, sijui Vit kiasi fulani, mara nyingi zinaongezwa.
hata kwenye unga unaweza ongeza hizo vitamins au nutrients unazotaka ukala ugali wako ukawa sawa na aliye kula vyakula unavyodai vinaleta akili.

Sisi vyakula yetu vingi tuna kula organic au unprocessed food, hivyo havina hizo label za content lakini vina virutubisho vingi tu, tena kushinda hata hivyo mnavyosema.

Tuna kula samaki fresh, tuna kula mboga toka shambani, matunda toka mtini moja kwa moja, tunalima kizamani, na siyo indor farms kama wazungu. hivyo naamini vyakula vyetu laba useme havian muonekano mzuri, lakini nutrients ni za kumwaga.

Tanzania Food Nutrition Center(TFNC) wanaweza kukujuza haya yote unayodharau hapa. Mnajali Protein added Value label bila kujua hizo added value zinatoka wapi, siyo natura zinatengenezwa. Lakini zakwetu ni natural.

Unataka Carbs, kula ugali wa Mtama mwekundu, utazipata carbs za kutosha, Ukitaka protein kula samaki, Nyama au kunywa maziwa.

Sisi tunaakili na ugali wetu huu huu, sema kuna wachache wanatuangusha, wanakula mbegu zetu za asili, halafu wanapiga pesa wana taka kutuletea GMO's. Nyie mnawaita wanasiasa, wanatuletea minazi mifupi sijui ya wiki mbili, tunapokea. Miche ya maembe ya siku 10, tunapokea, sijui Michungwa ya siku 3 tunapokea, halafu mnakuja humu mnatunanga soote hatuna AKILI kwasababu tunakula ugali.

Hatutaki ngano, tunataka unga wa Muhogo,Mahindi, Mtama ,Uwele, au Ulezi, Ngano kuleni nyie mnaotaka Protein.
Ajabu sana, eti ngano leo ionekane ndio chanzo cha protein
 
Je na hawa black people wanaoishi Marekani wameathirika na ugali au kule Jamaica .

MTU mweusi hana akili sawa sawa hata akila wali nyama kila siku

This race is cursed .
Mambo ya ugali ni visingizio MTU mweusi duniani kote hana akili

Wachache ndo wanajitambua.
Duh , umejidharau kupita kiasi, wazazi wako sijui wanajisikiaje kuwa na mtoto kama wewe
 
Back
Top Bottom