Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
Yeye mwenyewe anakwambia "You either get motivated or hate it"Kwa kweli na mm sina ila ningekuwa navyo ningetamba na shopping za maana maisha ni hayahaya..
Kwa kweli na mm sina ila ningekuwa navyo ningetamba na shopping za maana maisha ni hayahaya..
Sasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? ππ€£ bongo mna store ya gucci?π
πππππππSasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? ππ€£ bongo mna store ya gucci?π
Aje kidimbwi tugonge nae nyagi na vant
Takwimu za liniFloyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.
Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
Floyd anaishi maisha ya kitajiri, anaonesha utajiri na ni tajiri.Ngozi nyeusi akili zetu tunazijua sisi tu, sijawahi kuona mzungu pure anafanya hivo.
Hata Michael Jackson alikua anafanya shopping ya madude ambayo hata hakuwahi kuyatumia.
Hata kwenye media ni ngumu kukuta wazungu pure au waarabu pure wanafanya maisha ya show off, wale wanaishi utajiri hawaoneshi utajiri
Kwa raha zakeHAKUNA ALIEMSAIDIA KUTAFUTA ACHA ALE MAISHA
Upo Dunia ya wapi wewe?Takwimu za lini
Mayweather ana aprox usd 450 mil net worth,
Messi ana usd 600 mili
Mbona huna heshima na michael jordan?Floyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.
Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
Humjui Jordan hafu unaongea kwa mahabaUpo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Weka evidence acha ushabikiUpo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Tangu lini Mayweather ni tajiri kuliko Jordan?Upo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
My friend hao ni K9!!Pesa Sabuni ya roho hapo walinzi kama kumi hivi
Mungu asaidie aje na kwetu hapa Tanganyika ila kule Kwa wapumbavu Zanzibar asiemde kunanukaUkitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.
Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.
Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.
Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye πππππ
View attachment 2691954
Nafikiri wewe ndio ungejiuliza upo dunia ya ngapi.Upo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
TEGETA Nyuki kwa Hamisa MobettoSasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? ππ€£ bongo mna store ya gucci?π