Matumizi yangu ya mwezi

Matumizi yangu ya mwezi

Acha kupeleka pesa kwa wazazi, ukifa waonwatakua beneficiaries 1/3 ya mali zako,
Ila watembelee.

Kuhusu pesa unayopata iko poa kabisa ndugu,.
Hulipi ada kila mwezi hyo ya 330k.
Hivo unabserving ya kutosha.
Endelea kusave, hakikisha una bima za afya na bima za maisha.
Hakikisha una invest kwenye shughuli kadhaa, sijui utt, sanlam, au ujenzi wa nyumba na maduka.
Usiwaze maisha yako tena waza maisha ya familia yako.
Otherwise, have a good luck my brother
Toa hiyo elfu 80000 ya wazazi peleka kwenye mahitaji mengine ya msingi km vile mawasiliano,usafiri kwa mke,dharura aidha michango n.k...Inshu ya ada kaweka wastani kwa watoto wawili.......Hiyo nayo ipeleke labda kwenye kununua mavazi ya familia na mahitaji mengine ya msingi ambayo kayaacha
 
Sijajua umri wako, ila roughly utakuwa unacheza kwenye 35-45s

Ni hatari sana Kwa umri huo kukosa kuweka akiba

Kama mna nyumba kubwa, hao Wazee walete uishi nao hapo kwako, then hiyo 80,000 unayotuma ifanye akiba.

Pia anza kulipia kifurushi cha 28,000 Azam badala ya hiyo 35,000

Hujaweka matumizi yako ya simu pia/Bando n.k

Anza kufikiria kuhusu ujasiriamali binafsi, huo mshahara hautoshi brother
 
Nna familia ya watu wazima 3, (mimi, wife, beki 3 na watoto 2)
Kula 15,000/siku - 450,000
Tv azam 35,000
Umeme 30,000
Maji dawasco 15000
Beki 3 - 50,000
Wazazi 80,000
Nauli job 4000/siku - 120,000
Ada 4m/mwaka = 330,000/mwezi
Silipi kodi
Total 1.1m
Income 1.3m
Chakula ukiwa kazini, vocha, nguo na viatu kwa watoto, emergency cash
 
Chakula nunua in bulky Kila mwezi, hiyo pesa itapungua na uwaambie watumie vizuri...pia shule tafuta za 1.5mil kwa mtoto mmoja, maana maisha yenyewe mafupi utakosa pesa za kuenjoy bure
 
Sio mchezo.
Ila wana advantage flan hivi.
Kwasababu vitu vingi wanavipata for free.

Tukirudi kwenye hesabu za huyo mwamba, akipiga halisia, beki 3 anauwezo wakusave zaidi.

Wakwangu, anahudumiwa kila kitu, hadi nguo akiipenda ananunuliwa.

Pesa yake labda aweke bando tu
kwahiyo yaani kimsingi beki tatu haajiriwi, anapata sehemu ya kuishi vizuri, analipia kwa kusaidia kazi za ndani.

hizo 50k 50k zinaweza kumsaidia mtu kweli?
 
Unataka walipwe sh ngapi? Na wanakula bure na kulala bure, na akiugua anatibiwa bure. Kwa Bakharesa/MO/GSM watu wanaolipwa elfu 5 kazi masaa 12 , na wanaolipwa 150K kwa mwezi lakini chakula kuanzia asubuhi mpaka jion wanajitegemea wanalipa Kodi, na wakiugua wanajitibu kwa pesa zao. Na kazi zao ningumu kuliko hata za beki 3.
Kianzishwe chama cha mayaya tanzania, wawe na vibali, wapate mafunzo, na njia bora za kuwapatia maslahi zijadiliwe.
 
kwahiyo yaani kimsingi beki tatu haajiriwi, anapata sehemu ya kuishi vizuri, analipia kwa kusaidia kazi za ndani.

hizo 50k 50k zinaweza kumsaidia mtu kweli?
Assume unafanya kazi ofisini kwa mwezi unalipwa Laki 3.5.
Unalipa kodi, unanunua chakula, mavazi n.k
Hiyo pesa inatosha hayo mahitaji? Je, utabakiwa hata na hiyo 50k anayolipwa beki 3.
 
Hapo kuweka saving ngumu. Maana kuna vitu vingi vinavyokula pesa kwenye maelezo yako havipo.
 
Nna familia ya watu wazima 3, (mimi, wife, beki 3 na watoto 2)
Kula 15,000/siku - 450,000
Tv azam 35,000
Umeme 30,000
Maji dawasco 15000
Beki 3 - 50,000
Wazazi 80,000
Nauli job 4000/siku - 120,000
Ada 4m/mwaka = 330,000/mwezi
Silipi kodi
Total 1.1m
Income 1.3m
Kuna chai na chakula cha mchana, bando la simu. Mengi hujaandika hapo unabaki na deficit mkuu. Vipo vingi kwa downgrade hapo kulingana na kipato. Ada iwe nusu ya hiyo uliyoandika ikiwezekana
 
Nna familia ya watu wazima 3, (mimi, wife, beki 3 na watoto 2)
Kula 15,000/siku - 450,000
Tv azam 35,000
Umeme 30,000
Maji dawasco 15000
Beki 3 - 50,000
Wazazi 80,000
Nauli job 4000/siku - 120,000
Ada 4m/mwaka = 330,000/mwezi
Silipi kodi
Total 1.1m
Income 1.3m
Hela yako ya Kula kila siku kazini ni hapo kaka?
 
Kuna watu wanaumia kny budget za watu😂😂
Mtu yeyote mwenye akili timamu hupanga budget at a maximum. Inawezekana kwa mwezi asitumie hiyo 450K as kuna vitu vinaweza tumika hata miezi miwili. Nauli kuna siku anaweza kupata lift au hajaenda kazini.

Kwa haraka haraka kubaki na 200k kwa mwezi sio mbaya. Kuna watu wengi sana wanabaki na -200K kwa mwezi hapa na wapo kukucheka na kukudhihaki mtoa mada. Wengine mpaka wanawakopa wadada wao wa kazi au hawawalipi mshahara kwa vile budget imekaba
 
Sijajua umri wako, ila roughly utakuwa unacheza kwenye 35-45s

Ni hatari sana Kwa umri huo kukosa kuweka akiba

Kama mna nyumba kubwa, hao Wazee walete uishi nao hapo kwako, then hiyo 80,000 unayotuma ifanye akiba.

Pia anza kulipia kifurushi cha 28,000 Azam badala ya hiyo 35,000

Hujaweka matumizi yako ya simu pia/Bando n.k

Anza kufikiria kuhusu ujasiriamali binafsi, huo mshahara hautoshi brother
Akiongeza idadi ya wazee wawili nyumbani kwake gharama za maisha zinapanda.

Kwa bajeti yake mtu mmoja kwake anakula 3,000 kwa siku jambo ambalo linashangaza kwa gharama kubwa za maisha hapa mjini.
Akileta wazazi inaongezeka 6,000 kwa mwezi ni 90,000 kwenye kula tu. Haijaongezeka bajeti ya maji, umeme, sadaka, kuumwa maana wamebadilishwa mazingira na umri wao umeenda, zawadi. Na bado stress na kukosekana uhuru kwake yeye na mke wake.

Bora alipe hiyo 80,000 wabaki kwao.
 
Akiongeza idadi ya wazee wawili nyumbani kwake gharama za maisha zinapanda.

Kwa bajeti yake mtu mmoja kwake anakula 3,000 kwa siku jambo ambalo linashangaza kwa gharama kubwa za maisha hapa mjini.
Akileta wazazi inaongezeka 6,000 kwa mwezi ni 90,000 kwenye kula tu. Haijaongezeka bajeti ya maji, umeme, sadaka, kuumwa maana wamebadilishwa mazingira na umri wao umeenda, zawadi. Na bado stress na kukosekana uhuru kwake yeye na mke wake.

Bora alipe hiyo 80,000 wabaki kwao.
Nakubaliana na wewe Mkuu

Kwa hizo gharama za maisha, vyema ajikite kufanya ujasiriamali kidogo ili kujiongezea kipato

Kipato chake hakitoshi, kulingana na idadi ya wategemezi alionao
 
Back
Top Bottom