Mauaji Afrika Kusini: Amuua mwenzake, amkata Kichwa na kula viungo vya ndani sehemu ya tumbo

Mauaji Afrika Kusini: Amuua mwenzake, amkata Kichwa na kula viungo vya ndani sehemu ya tumbo

Kwa madiba kuna mambo,

Jamaa amefanya kitendo cha kinyama sana kuutoa uhai wa mtu mwingine bila hata chembe ya huruma

Muuaji alikua na bifu na marehemu na alimfuata mpaka sehemu ya kazi kulianzisha,, aliingia na visu viwili kimoja kikubwa na kingine kidogo kwaajili ya kutekeleza mauaji hayo

Baadhi ya mashahidi wanasema marehemu alipotaka kukimbia kujiokoa maisha yake walinzi wa getini walimfungia kwa nje.

Muuaji baada ya kutekeleza mauaji hayo alijipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii

Upelelezi unaendelea.....View attachment 2810414View attachment 2810415View attachment 2810416

Angalizo picha zinahuzunisha
Futa picha Moderator
 
Unakumbuka lile tukio la zamani
Lilitokea dar,jamaa alimua dem wake akamkatakata na kumuweka kwenye begi...alimkatakata vipande
Wabongo wenyewe ukingia 18 yao
Unakutana na style hii

Ova
Kuna ingine ilitokea kwetu, mtu alimuua mke wake na kutafuna ini na mapafu.

Watu wana roho mbaya sana, [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kuna ingine ilitokea kwetu, mtu alimuua mke wake na kutafuna ini na mapafu.

Watu wana roho mbaya sana, [emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugaji
Watu walichinjana sana ,walitenganishana mpaka viwiliwili,mikono mguu
Na tulishuudia machafuko yale....
Watu tulikimbilia milima ya lumbiji
Tukala chocho tukatokea gairo kukwepa machafuko
WABONGO NAO MAKATILI KIKINUKA
NDIYO UTAWAJUWA WALIVYO

ova
 
Kuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugaji
Watu walichinjana sana ,walitenganishana mpaka viwiliwili,mikono mguu
Na tulishuudia machafuko yale....
Watu tulikimbilia milima ya lumbiji
Tukala chocho tukatokea gairo kukwepa machafuko
WABONGO NAO MAKATILI KIKINUKA
NDIYO UTAWAJUWA WALIVYO

ova
Hao wakulima walikata miguu mifugo ikiwa hai, matukio ni mengi ila south wamezidi
 
Inaonekana serikali ya South ina wadekeza wahalifu.

Nasikia huko South, kesi ya mauaji ina mdhamana, na kiwango cha pesa ya udhamini ni ndogo sana, kwanini watu wasiuane ?

Kuna matatizo huwa rahisi sana kuyaondoa, kama haya ya mauaji na watu kuuana. Ni kwamba akiua mtu akapatikana na hatia na yeye anauliwa hakuna stori za mawakili wala hiki Wala kile.
Binadamu wanauana kila mahali duniani.Sema taarifa huwezi kuzisikia zote.utapata za south zaid ndo maana unaona hivyo.ila binadamu ni wakatili kila mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugaji
Watu walichinjana sana ,walitenganishana mpaka viwiliwili,mikono mguu
Na tulishuudia machafuko yale....
Watu tulikimbilia milima ya lumbiji
Tukala chocho tukatokea gairo kukwepa machafuko
WABONGO NAO MAKATILI KIKINUKA
NDIYO UTAWAJUWA WALIVYO

ova
[emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha mwaka2017 au 2018 huko huko Kilosa Maasai alimchoma mkulima mkuki mdomoni ukatokea shingoni. Lile tukio kila nikilikumbuka nashindwa kumuelewa binadamu.

Cha kushukuru jamaa alipona, hivi unajua ile picha ya mhanga haijawahi kunitoka akilini ukizingatia nilimuona physically aisee acha tu kuna watu wana roho zao
 
Back
Top Bottom