mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kuna ile mtu anakuambia ntakuonesha,ndiyo hiyoo sasaNajaribu kuwaza huyo marehemu alimkosea nini muuwaji!??
ni kosa gani hilo......?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ile mtu anakuambia ntakuonesha,ndiyo hiyoo sasaNajaribu kuwaza huyo marehemu alimkosea nini muuwaji!??
ni kosa gani hilo......?
Futa picha ModeratorKwa madiba kuna mambo,
Jamaa amefanya kitendo cha kinyama sana kuutoa uhai wa mtu mwingine bila hata chembe ya huruma
Muuaji alikua na bifu na marehemu na alimfuata mpaka sehemu ya kazi kulianzisha,, aliingia na visu viwili kimoja kikubwa na kingine kidogo kwaajili ya kutekeleza mauaji hayo
Baadhi ya mashahidi wanasema marehemu alipotaka kukimbia kujiokoa maisha yake walinzi wa getini walimfungia kwa nje.
Muuaji baada ya kutekeleza mauaji hayo alijipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii
Upelelezi unaendelea.....View attachment 2810414View attachment 2810415View attachment 2810416
Angalizo picha zinahuzunisha
Unakumbuka lile tukio la zamaniHizi picha zinaogopeshaa. [emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna ingine ilitokea kwetu, mtu alimuua mke wake na kutafuna ini na mapafu.Unakumbuka lile tukio la zamani
Lilitokea dar,jamaa alimua dem wake akamkatakata na kumuweka kwenye begi...alimkatakata vipande
Wabongo wenyewe ukingia 18 yao
Unakutana na style hii
Ova
Kuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugajiKuna ingine ilitokea kwetu, mtu alimuua mke wake na kutafuna ini na mapafu.
Watu wana roho mbaya sana, [emoji24][emoji24][emoji24]
Hata kwa herufi ndogo angeelewa tu au asingeelewa tuNAKUSHAURI UDELETE HIZO PICHA!!!
JAPO SIKULAUMU KWA KUWA UMEZIWEKA BILA KUJUA NI PICHA ZIPI HAZIENDI PUBLIC, HASA ZENYE KUGUSA HISIA ZA WATU....
Unaweza kuta alimchukulia mke wakeDah! Nitaweza kula leo kweli? Najuta kuangalia picha!
Hata adui yangu mkuu siwezi kumfanyia alichofanya huyo muuaji!
Hao wakulima walikata miguu mifugo ikiwa hai, matukio ni mengi ila south wamezidiKuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugaji
Watu walichinjana sana ,walitenganishana mpaka viwiliwili,mikono mguu
Na tulishuudia machafuko yale....
Watu tulikimbilia milima ya lumbiji
Tukala chocho tukatokea gairo kukwepa machafuko
WABONGO NAO MAKATILI KIKINUKA
NDIYO UTAWAJUWA WALIVYO
ova
Jf nyie si mnapendaga picha haya sasa picha mmewekewaNAKUSHAURI UDELETE HIZO PICHA!!!
JAPO SIKULAUMU KWA KUWA UMEZIWEKA BILA KUJUA NI PICHA ZIPI HAZIENDI PUBLIC, HASA ZENYE KUGUSA HISIA ZA WATU....
Dunia uwanja wa fujoHao wakulima walikata miguu mifugo ikiwa hai, matukio ni mengi ila south wamezidi
Muuaji ni jobless, alikua muajiriwa kwenye kampuni hiyohiyo aliyokua anafanya kazi marehemu, yeye alishafukuzwa kitamboUnaweza kuta alimchukulia mke wake
Ova
Jf usemi wenu huu,uzi bila picha hainogi haya mmewekewa picha naOndoa hizo picha xa utumbo bana
Simba haui......?Ubinadamu upo. Ubinadamu ni uovu. Ukikutana na mtu ambaye si muovu ni bahati tu. Hayo aliyofanya huyu jamaa wa Afrika Kusini ndiyo mambo ya kibinadamu.
Wanyama hawauwi ovyo. Na Simba hauwi simba.
Ata binadamu ni mnyama.Wasouth wanaroho mbaya sana
Ubinadamu haupo, watu wamekua kama wanyama
Binadamu wanauana kila mahali duniani.Sema taarifa huwezi kuzisikia zote.utapata za south zaid ndo maana unaona hivyo.ila binadamu ni wakatili kila mahali.Inaonekana serikali ya South ina wadekeza wahalifu.
Nasikia huko South, kesi ya mauaji ina mdhamana, na kiwango cha pesa ya udhamini ni ndogo sana, kwanini watu wasiuane ?
Kuna matatizo huwa rahisi sana kuyaondoa, kama haya ya mauaji na watu kuuana. Ni kwamba akiua mtu akapatikana na hatia na yeye anauliwa hakuna stori za mawakili wala hiki Wala kile.
[emoji1787][emoji1787]Kuna vurugu ilitokeaga kilosa miaka fulani vita ya wakulima na wafugaji
Watu walichinjana sana ,walitenganishana mpaka viwiliwili,mikono mguu
Na tulishuudia machafuko yale....
Watu tulikimbilia milima ya lumbiji
Tukala chocho tukatokea gairo kukwepa machafuko
WABONGO NAO MAKATILI KIKINUKA
NDIYO UTAWAJUWA WALIVYO
ova
Na Vijana wa Arusha nao siku hizi wanajifanya wana rohoo za ki South za kupigana visu kwa visa vya kipumbavu tu!!Hawa watu na black Americans hawana tofauti, mtu akikosewa kidogo anakimbilia kuua[emoji174][emoji1373]