Mauaji Afrika Kusini: Amuua mwenzake, amkata Kichwa na kula viungo vya ndani sehemu ya tumbo

Hili ndio kosa kubwa walilo lifanya.
 
Yaani kwa matukio ya wakati ule
Kama sim makamera social media zingekuwepo matukio yale yangerushwa,hali ingekuwa hatari sana
In inshort mwanadam ni hatari sana kuliko hata mnyama

Ova
 
Na Vijana wa Arusha nao siku hizi wanajifanya wana rohoo za ki South za kupigana visu kwa visa vya kipumbavu tu!!
Arusha uongomvi wa visu hawajaanza leo
RIP FARTHER NELLY naye alipigwa kisu akafa

Ova
 
Kwanza hata hukumu zao nyepesi muuaji anapewa Miaka yake 15 anapoa
 
Ndio maana Shaka Zullu alikuwa anawapa kipigo cha mbwa koko hadi kuwaua sasa kwa akiri kama hizo ataweza kuishi na jamii tofauti kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Africa sio sehem Salama kwa kuishi wala kutafuta maisha.
 
Duh!

Kuna raia ni katili sana aisee...
 
Ndugu Ukigomban na mtu dunia ya leo ukaona ameondoka mara baadae/kesho anakuja kulianzisha jua amejiandaa, na watu hawatanii sikuhizi unatolewa supu mapema.

Tumia miguu yako vizurii, hujapewa ya kupiga mapaka hio,
Mimi Niliponea chupu chupu, baada ya kuona kuna kitu kimetuna kwenye T-shirt kumbe ni sime, Acheni kabisa, nilichomoka kiasi kwamba alikimbiza hatua chache tuu akakata tamaa, sikurudi ile mitaa mpaka lile juha lilitiwa nguvuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…