Mauaji Afrika Kusini: Amuua mwenzake, amkata Kichwa na kula viungo vya ndani sehemu ya tumbo

Hahaaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2], ukaona cha kufia nini sio ?
Mbio na wewe
 
Ninachojiuliza utumbo utoke nje na jamaa hajalowa damu hata chembe inawezekanaje hii?
Unaioewa vizuri body anatomy, sehemu ya tumbo hakuna mishipa mikubwaya damu kama kwenye mikono, miguuni na baadhi ya sehemu bali kuna ABS Muscle tuzenye veins ndogondogo kwahio ukichomwa kitu hadi kuchanwa tumbo hutatoka damu nyingi na vifo vya kuchomwa tumboni havisababishwi na bleeding bali ni kuharibu Organs na Tissues za ndani ya tumbo
 
Naskia nyama ya bindam ni tamu ukianza kuionja huachi kwahiyo jamaa afungiwe peke yake anaweza kula wafungwa wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…