Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Wewe walishakuonyesha huo weledi mpaka uwasifie? Hebu tuambia mfano mmoja wa kitu walichokifanya kwa weledi tangu awamu ya 5Jaribu uone weledi wa wqkali wa kazi hizo, unakutana na vihuni vya mitaani ndio unajumuisha Tiss na Polisi wote? Usiombe wakuonyeshe weledi wao
Wengi tulishasema polisi-CCM hawana weledi wowote bali ni wahuni wanaotumiwa na utawala wa CCM. Naona mmeanza kukiri wenyewe. Hata Satifa alipata bahati ya kusalimika na kuja kusimulia kuwa muda wote waliokuwa naye walikuwa wanavuta bangi na kunywa pombe. Hawa ndiyo mapolisi wa CCM. Weledi hakuna.Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Endelea kudhani,Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Jaribu uone weledi wa wqkali wa kazi hizo, unakutana na vihuni vya mitaani ndio unajumuisha Tiss na Polisi wote? Usiombe wakuonyeshe weledi wao
Ni mfumo CCM na walaaniwe!Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Hivi huyu jamaa kwa video hii hana la kujibu kwa pilato!!?Can't agree with you more, na genge Hilo ni ccm, rejea hii video, ya Dc
unaambiwa kakamatwa na polisi , ww bado unatuandikia ujinga wako , polisi huwa wanaongea mitaani kuwa ccmu ndo mtawala na wao wanalinda ugali so wataua yeyote yule na hamna cha kufanyaNina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Cha msingi state organs muunganishe nguvu kuwasaka.Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
turudi sasa polisi wamefanya nini kubaini hilo genge na upotevu wa watu wengine au tuseme wameshindwa kazi wakiri hadharani kwamba wameshindwa kulinda raia kila raia ajilinde mwenyewe?Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
The gang β¦carying machine gun, Hand cuffs and driving Land cruiser car ππππππ! How can you tell people they are not PoliceNina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane