Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,036
- 9,331
Aisee wahi Hospitali, Hakikisha unamuona SPECIALIST, UROLOGIST. siyo daktari wa kawaida kawaida, Kimbia mkuu, usichelewe kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nielekeze hospitali ambazo naweza kwenda kwa huku Arusha ili nikamuone specialist,nakushukuru sana kwa ushauri mzuri.Aisee wahi Hospitali, Hakikisha unamuona SPECIALIST, UROLOGIST. siyo daktari wa kawaida kawaida, Kimbia mkuu, usichelewe kabisa
Mkuu uwe makini unaweza patwa nawewe ukajishangaa.Kapicha mkuu
kwanini unavumilia maumivu miaka mingi hivyo? ulishawahi kwenda hospitali?
Mr,nenda KCMC muone dr,Mbwambo ndio mtaalam wa hayo mambo.
Madaktari naomba ushauri pumbu yangu ya upande wa kulia imevimba miaka nane sasa,tendo la ndoa haisumbui naomba ushauri madaktari huwa inanisumbua,inauma muda fulani,umri wangu 33.
Andika bwerere langu la kulia limevimba, Pumbu ni neno kali (kwa wengi).
ulishaacha kupiga PULIIIiiii